Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Kuna TAG na Lutheran. Lipi unaloliongelea, mkuuNijuacho ni kuwa kuna watu walitaka choma kkt yombo ila ikashindikana
Kuna TAG na Lutheran. Lipi unaloliongelea, mkuuNijuacho ni kuwa kuna watu walitaka choma kkt yombo ila ikashindikana
Mkuu Barubaru mbona makanisa haya yanajengwa na wauumini bila ya kusubiri misaada kutoka nje, sasa hili la kusema wana hamu ya kupata FIDIA unatoka wapi! Tangu lini wakristo wakawa chanzo cha ku-incite vurugu deliberately - hua naeshimu sana maoni yako lakini naona leo labda ilipata slip-up ya ulimi.
Barubaru ni lini umeanza kutambuwa kwamba kuna nchi inaitwa Tanzania? ila Balantanda ndio amenishangaza zaidi kusema eti wewe ni PHD Holder!! siamini hili labda kama Madrasa nazo sasa hivi zinatowa PHD.Kuna kiongozi mmoja mkuu kabisa wa chama cha Siasa huko Tanzania aliwahi kusema hadhwarani kabisa
TUTAHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI.HATUMTAMBUI RAIS NA NGUVU YA UMMA ITAITOA SERIKALI MADARAKANI.
je hakuna mkono wake hapo katika kutimiza azma yake? Hasa ukizingatia yeye ni mkanisa na yanayochomwa ni makanisa ili achonganisha wakanisa na wenzao.
Kuna kiongozi mmoja mkuu kabisa wa chama cha Siasa huko Tanzania aliwahi kusema hadhwarani kabisa
TUTAHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI.HATUMTAMBUI RAIS NA NGUVU YA UMMA ITAITOA SERIKALI MADARAKANI.
je hakuna mkono wake hapo katika kutimiza azma yake? Hasa ukizingatia yeye ni mkanisa na yanayochomwa ni makanisa ili achonganisha wakanisa na wenzao.
Nani aliyewaloga nyinyi watu?
Ndio mnavyodanganyana misikiti hivi? haya nimpe mfano India ya Tanzania niwapi na Pakistani ya Tanzania ni wapi?Vyanzo vya ku-incite vurugu /chuki baina ya waislamu na wakristo vimesababiswa na mfumo kristo. Kuendelea kukandamiza haki za waislamu , kuwafelisha kwa makusudi wanafunzi wanye majina ya kiislamu. Kuizuwia Zanzibar kujiunga na OIC n,k.
Tunakoelekea kubaya sana ,kuna hatari hii nchi ikagawika mapande mawili kama vile India na Pakistani.
I hate Moslems... they are barbaric and primitive at all.
kanisa jingine limechomwa moto uko yombo sasa ivi source Waporadio Mungu azidi kunipa moyo wa chuma
Rwanda ni Rwanda, Congo ni Congo, na TANZANIA NI TANZANIA...Hatuna ubia na watu hao, japo nao wana Wakristo!
Asili ya nchi (context for this case)iko bound kuaffect hata imani za watu na wanavyoichukulia dini hadi wanavyoishi mtaani.
So istand by my post, Wakristo wa Watanzania hawana roho ya aina hiyo.
mbona hawana mzio(alerge) na hospital za makanisa kama bugando,KCMC...Aisee kumbe kuna watu wana alerge na makanisa? Shauri yao, siku zikifika watakuja kuyatafuta makanisa na hawatayaona.
Na wale waislam waliokamatwa na majambia jana waliozingira central police na wenyewe wametumwa na Dr wetu wa divinity?Kamuulize Dr wenu wa Divinity alitamka nini kuhusu mustakabali wa amani nchi na jiulize kitu kinaendelea. Haingii akilini watu wachome makanisa Last friday wakakamtwa halafu watu hao hao wasiwe na woga waende wakachome tena leo na kule kigoma. Hivi unadhani waislamu hawana akili ya kufikiri???? Something fishy is going on time will tell
hofu yangu jeshi linaongozwa na Mkristo liseje likachukua nchi kama hali itaendelea kuwa mbaya na tete. Tunaomba serikali ifike salama 2015
Barubaru wewe siyo mtanganyika wala mzanzibar hivyo tuachie mambo yetu..
D.R.A.M.A. = Dumb Retards Asking for More AttentionOf all the people...........Barubaru?
Sikutegemea kauli kama hii kutoka kwako mkuu......PHD holder unaongea upuuzi kama huu!!!
Halafu, si ulishatangaza kujiondoa JF?......Nini kilikusibu?....
Ubaguzi ni kitu kibaya sana jamani......Mungu saidia