wanasema ukila na kipofu usimshike mkono...hii sisiem wamewashika mkono watanzania wengi mno na hakika dhambi hii haitawaacha milele.. iko humu humu Jf ni kuhusu mkutano wa la cairo. hutaamini dharau tunazofanyiwa
Wote waliotajwa wameisha jibu kwa ufasaha kabisa na ushahidi wametoa wa ki maandishi. Hakuna kitu hapo , jamaa ameingizwa mjini this time amepewa ngoma feki aiseeee
Kuna habari helicopter ilimchukua Lowassa toka Monduli Military Academy... wanasema wanajeshi waliokuwapo siku hiyoWote wamejieleza lakini ni upupu mtupu, kwani Riz1 alijitetea kuwa hakuwepo Mwanza siku ya tar.19, halafu akasema Hoteli yenyewe haijui alipo, ghafla akasema hoteli yenyewe haina uwezo wa kuingiza watu 30. sasa hapo tupate nini wewe Brain?
Lowasa naye alijieleza kuwa siku hiyo alikuwa jimboni kwake. lakini kumbukeni kuwa kwa wenzetu unaweza kuwa jimboni kwako, halafu baadaye unakuwa sehemu nyingine siku hiyo hiyo.
Rosta alidai kuwa siku hiyo alikuwa anatoka Africa Kusini, ambapo ndiyo siku contena lililokuwa limebeba makaratasi ya kura imekamatwa tunduma.
Wote waliotajwa wameisha jibu kwa ufasaha kabisa na ushahidi wametoa wa ki maandishi. Hakuna kitu hapo , jamaa ameingizwa mjini this time amepewa ngoma feki aiseeee
habari ndio hii
Wote waliotajwa wameisha jibu kwa ufasaha kabisa na ushahidi wametoa wa ki maandishi. Hakuna kitu hapo , jamaa ameingizwa mjini this time amepewa ngoma feki aiseeee
Wote waliotajwa wameisha jibu kwa ufasaha kabisa na ushahidi wametoa wa ki maandishi. Hakuna kitu hapo , jamaa ameingizwa mjini this time amepewa ngoma feki aiseeee