Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Mkuu, ni kweli kabisa wala siyo utani, katika wanyama ni Jamii ya nyani (primates)== apes na monkeys pamoja Nguruwe ndiyo hufanya ngono za jinsia moja (homosexuality) na wataalamu wa lishe wanasema "you are what you eat" yaani mwili wako upo kutokana na kile unachokula, sasa kama utakula sana nyama ya nguruwe (staple food) moja kwa moja mwili wako utaambukizwa mazingira ya USHOGA kutokana na matumizi ya hiyo nyama ya nguruwe.
Mungu hakuiharamisha nyama ya nguruwe bila sababu of course kuna sababu nyingi sana ambazo zote ni mkusanyiko wa madhara.