Elections 2010 Mungu uko wapi: Mabomu ya nini-Tulipokukosea TUSAMEHE

We can

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
678
47
Mungu wetu;

Ulitupatia Tanzania na watu wake (nikiwemo mimi, na wengine), mbona sasa unaruhusu watu wako wapigwe mabomu kisa wamechagua UPINZANI? Je, wapinzani si wa Tanzania? Je, hakuna sehemu mume na mke wana vyama tofauti? baba na babu vyama tofauti? Shangazi na mjomba vyama tofauti? Islaam na Ukristu vyama tofauti? Wahindi na wajaruo vyama tofauti?

Kwani polisi hawana ndugu zao wapinzani? Kwani JWTZ hawana ndg zao CCM na CHADEMA? Mungu, uko wapi uzuie mabomu kwa watu wako maskini? Tazama, waliambiwa, mkichagua upinzani mtaleta vita, kumbe ndo hii vita? Sikuwahi kuijua? Nilichokuwa nadhani ni kuwa wapinzani wakishinda tu wanaanza kutupiga mabomu, ndiyo maana siku zote nilisita kuwachagua; maskini kumbe ndo wanaoonewa! Maskini Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo, SHUKA SASA uzuie mabomu haya. Hata kama tumekutenda dhambi, tunaomba utusamehe.

Kuna watu wanatulazimisha tuamini kuwa sisi wa Tanzania ni wadini. Nilianza kuamni hivyo; kumbe ni ujinga wangu. Nilianza kumchukia jirani yangu bure; mbona ndo kawa wa kwanza kuja kuniangalia jana hospitalini nilipopigwa mabomu nikidhaniwa nimeandamana! Shuka Mwenyezi Mungu uzuie mabomu na umweke RAIS mwenye uchungu na Taifa hili...Amina.
 
Hata ukombozi wa Israel ulikuwa kwa njia ya vita. Hata ukombozi wa miji mitakatifu katika Uislamu ulipatikana kwa njia ya vita. Unalijua hilo?
 
Yana mwisho haya...2015 is just around ze corner!

Paka Jimmy do not jump to the future!!! Talk about what can you do today. What we do now will determine our future. If nothing is done today the future will be just like today because the cause of events was not diverted.
 
Mungu wetu;

Ulitupatia Tanzania na watu wake (nikiwemo mimi, na wengine), mbona sasa unaruhusu watu wako wapigwe mabomu kisa wamechagua UPINZANI? Je, wapinzani si wa Tanzania? Je, hakuna sehemu mume na mke wana vyama tofauti? baba na babu vyama tofauti? Shangazi na mjomba vyama tofauti? Islaam na Ukristu vyama tofauti? Wahindi na wajaruo vyama tofauti?

Kwani polisi hawana ndugu zao wapinzani? Kwani JWTZ hawana ndg zao CCM na CHADEMA? Mungu, uko wapi uzuie mabomu kwa watu wako maskini? Tazama, waliambiwa, mkichagua upinzani mtaleta vita, kumbe ndo hii vita? Sikuwahi kuijua? Nilichokuwa nadhani ni kuwa wapinzani wakishinda tu wanaanza kutupiga mabomu, ndiyo maana siku zote nilisita kuwachagua; maskini kumbe ndo wanaoonewa! Maskini Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo, SHUKA SASA uzuie mabomu haya. Hata kama tumekutenda dhambi, tunaomba utusamehe.

Kuna watu wanatulazimisha tuamini kuwa sisi wa Tanzania ni wadini. Nilianza kuamni hivyo; kumbe ni ujinga wangu. Nilianza kumchukia jirani yangu bure; mbona ndo kawa wa kwanza kuja kuniangalia jana hospitalini nilipopigwa mabomu nikidhaniwa nimeandamana! Shuka Mwenyezi Mungu uzuie mabomu na umweke RAIS mwenye uchungu na Taifa hili...Amina.

AMeni
 
Mungu wetu;

Ulitupatia Tanzania na watu wake (nikiwemo mimi, na wengine), mbona sasa unaruhusu watu wako wapigwe mabomu kisa wamechagua UPINZANI? Je, wapinzani si wa Tanzania? Je, hakuna sehemu mume na mke wana vyama tofauti? baba na babu vyama tofauti? Shangazi na mjomba vyama tofauti? Islaam na Ukristu vyama tofauti? Wahindi na wajaruo vyama tofauti?

Kwani polisi hawana ndugu zao wapinzani? Kwani JWTZ hawana ndg zao CCM na CHADEMA? Mungu, uko wapi uzuie mabomu kwa watu wako maskini? Tazama, waliambiwa, mkichagua upinzani mtaleta vita, kumbe ndo hii vita? Sikuwahi kuijua? Nilichokuwa nadhani ni kuwa wapinzani wakishinda tu wanaanza kutupiga mabomu, ndiyo maana siku zote nilisita kuwachagua; maskini kumbe ndo wanaoonewa! Maskini Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo, SHUKA SASA uzuie mabomu haya. Hata kama tumekutenda dhambi, tunaomba utusamehe.

Kuna watu wanatulazimisha tuamini kuwa sisi wa Tanzania ni wadini. Nilianza kuamni hivyo; kumbe ni ujinga wangu. Nilianza kumchukia jirani yangu bure; mbona ndo kawa wa kwanza kuja kuniangalia jana hospitalini nilipopigwa mabomu nikidhaniwa nimeandamana! Shuka Mwenyezi Mungu uzuie mabomu na umweke RAIS mwenye uchungu na Taifa hili...Amina.

ZEKARIA 10 : 2 - 5
Kwa maana vinyago vimenena maneno ya ubatili, nao waaguzi wameona uongo;
nao wameleta habari za ndoto za uongo, wafariji bure; kwa sababu hiyo waenda za kama kondoo,
wateswa kwa sababu hapana mchungaji.+ 3 Hasira yangu imewaka juu ya wachungaji,
nami nitawaadhibu mbuzi waume, kwa maana Bwana wa majeshi, ameliangalia kundi lake, yaani,
nyumba ya Yuda, naye atawafanya kuwa kama farasi wake vitani.+ 4 Kwake yeye litatoka jiwe lile
pembeni, kwake yeye utatoka msumari, kwake yeye utatoka upinde wa vita, kwake yeye utatoka
kila mtawala mmoja.+ 5 Nao watakuwa kama mshujaa, wakanyagao adui katika matope ya
njia vitani; nao watapiga vita, kwa sababu BWANA yu pamoja nao; na hao wapandao farasi watafadhaishwa.+
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom