Mungu nisamehe, nimekula kuku na mayai yake

I used to think 30s was the man's man number. The number that makes shorties look up to you, and shawties wanna get hooked up to you, forever. The number you set the pace with. Then I joined JF. Well, I guess the only option is to get there and set the pace myself.
 
Kuna mama mmoja hapa mtaani yuko eary 50's mimi niko early 30's sasa weekend moja nikiwa bar ya mtaani nikajikuta nimekaa nae meza jirani kabisa anapata bia na wamama wenzake, mara wenzake wakaondoka akawa amebakia mwenyewe nikasema ngoja nijisogeze kwa jirani tupige story, ndio kuanza kujuana maana hata majina tulikuwa hatujuani zaidi ya kuonana mtaani tu.

Akaniambia kuwa mumewe alimkimbia na kumwachia nyumba na watoto kwa hiyo anaishi kwa kutegemea biashara ya duka hapo kwake na kodi za wapangaji pamoja na kusaidiwa na wanae, pia anafuga ng'ombe wa maziwa kujiongezea kipato.

Ilipofika saa tano usiku tukaona tuondoke nikamkaribisha nyumbani ni mtaa mmoja, uzuri huku kwetu ikifika saa mbili kila mtuu ndani kwake, watu macho kwenye luninga wanaangalia Lowassa leo kafanya mafuriko wapi. Kilichoendelea huko ndani ni historia kwani ilikuwa ni mara ya kwanza kulala na mtu aliyenizidi miaka kama 20, kakawa ndio kamchezo ketu kisirisiri bila watu mtaani kujua.

Sasa mwezi uliopita binti yake wa mwisho anasoma Mkwawa (MUCE )alishikwa na homa ya ghafla nikapigiwa simu na huyo mama kwani hakuna mtu kuhusu kuumwa kwa binti yake na hakuna mtu, kutafuta sifa nikasimamia shoo binti akapelekwa hospitali mpaka akapata matibabu.

Tukiwa hospitalini na binti tulikuwa tunapiga stori za hapa na pale na tukabadilishana namba kisirisiri bila mama yake kujua kwani tulikuwa nae pamoja hospital. Sasa siku chache baada ya binti kuwa amepona siku moja nikampigia simu aje home alivyokuja nikajichinjia kilaini, Nikajikuta nimekula kuku na mayai yake.

Binti ameniganda ila sijampenda sana na hajui shughuli kulinganisha na mama yake, lazima nikiri kuwa yule mama shughuli anaiweza sana, nashukuru Mungu nasikia vyuo karibu kufunguliwa nitakuwa mbali na huyu binti.

Sasa leo nimekaa nikatafakari naona ninachofanya sio sahihi, huyu binti nimempita miaka kama 10 ila ana mwili mkubwa tukiongozana mtu hawezi kujua kama nimemkata age kihivyo, mama yake naye kanikata miaka kama 20 naona hapo hakuna mapenzi ya kweli, kupitia waraka huu natangaza kuwaacha rasmi.

Ukiacha suala la umri, kitendo cha kula kuku na mayai yake nahisi vita kuu ya tatu ya dunia inakaribia nyumbani kwangu.

Mwenyezi Mungu ni mwingi wa Rehema najua amenisamehe dhambi zangu, ni katika jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu Amen..

nakushauri ukapime na kale kaugonjwa chetu
 
Come now, let us settle the matter," says the LORD. "Though your sins are like scarlet, they shall be as white as snow; though they are red as crimson, they shall be like woo ISAIAH 1;18
Unajua watu huwa wanaletaga mizaa mizaa hivi. Zab 1:1-6. Sasa mstar wa 6B ndo una hatari; .......lakini njia ya mwovu itapotea" Kiukwel tujitathmini kama tunatosha kutumia hii mistari!! Anyway kupanga ni kuchagua
 
Kuna mama mmoja hapa mtaani yuko eary 50's mimi niko early 30's sasa weekend moja nikiwa bar ya mtaani nikajikuta nimekaa nae meza jirani kabisa anapata bia na wamama wenzake, mara wenzake wakaondoka akawa amebakia mwenyewe nikasema ngoja nijisogeze kwa jirani tupige story, ndio kuanza kujuana maana hata majina tulikuwa hatujuani zaidi ya kuonana mtaani tu.

Akaniambia kuwa mumewe alimkimbia na kumwachia nyumba na watoto kwa hiyo anaishi kwa kutegemea biashara ya duka hapo kwake na kodi za wapangaji pamoja na kusaidiwa na wanae, pia anafuga ng'ombe wa maziwa kujiongezea kipato.

Ilipofika saa tano usiku tukaona tuondoke nikamkaribisha nyumbani ni mtaa mmoja, uzuri huku kwetu ikifika saa mbili kila mtuu ndani kwake, watu macho kwenye luninga wanaangalia Lowassa leo kafanya mafuriko wapi. Kilichoendelea huko ndani ni historia kwani ilikuwa ni mara ya kwanza kulala na mtu aliyenizidi miaka kama 20, kakawa ndio kamchezo ketu kisirisiri bila watu mtaani kujua.

Sasa mwezi uliopita binti yake wa mwisho anasoma Mkwawa (MUCE )alishikwa na homa ya ghafla nikapigiwa simu na huyo mama kwani hakuna mtu kuhusu kuumwa kwa binti yake na hakuna mtu, kutafuta sifa nikasimamia shoo binti akapelekwa hospitali mpaka akapata matibabu.

Tukiwa hospitalini na binti tulikuwa tunapiga stori za hapa na pale na tukabadilishana namba kisirisiri bila mama yake kujua kwani tulikuwa nae pamoja hospital. Sasa siku chache baada ya binti kuwa amepona siku moja nikampigia simu aje home alivyokuja nikajichinjia kilaini, Nikajikuta nimekula kuku na mayai yake.

Binti ameniganda ila sijampenda sana na hajui shughuli kulinganisha na mama yake, lazima nikiri kuwa yule mama shughuli anaiweza sana, nashukuru Mungu nasikia vyuo karibu kufunguliwa nitakuwa mbali na huyu binti.

Sasa leo nimekaa nikatafakari naona ninachofanya sio sahihi, huyu binti nimempita miaka kama 10 ila ana mwili mkubwa tukiongozana mtu hawezi kujua kama nimemkata age kihivyo, mama yake naye kanikata miaka kama 20 naona hapo hakuna mapenzi ya kweli, kupitia waraka huu natangaza kuwaacha rasmi.

Ukiacha suala la umri, kitendo cha kula kuku na mayai yake nahisi vita kuu ya tatu ya dunia inakaribia nyumbani kwangu.

Mwenyezi Mungu ni mwingi wa Rehema najua amenisamehe dhambi zangu, ni katika jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu Amen..

acha uzinzi ni dhambi
 
"Mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu wenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu"

Hakika laana nyingi tulonazo zinatoka kwa wazee wetu.
 
Kuna mama mmoja hapa mtaani yuko eary 50's mimi niko early 30's sasa weekend moja nikiwa bar ya mtaani nikajikuta nimekaa nae meza jirani kabisa anapata bia na wamama wenzake, mara wenzake wakaondoka akawa amebakia mwenyewe nikasema ngoja nijisogeze kwa jirani tupige story, ndio kuanza kujuana maana hata majina tulikuwa hatujuani zaidi ya kuonana mtaani tu.

Akaniambia kuwa mumewe alimkimbia na kumwachia nyumba na watoto kwa hiyo anaishi kwa kutegemea biashara ya duka hapo kwake na kodi za wapangaji pamoja na kusaidiwa na wanae, pia anafuga ng'ombe wa maziwa kujiongezea kipato.

Ilipofika saa tano usiku tukaona tuondoke nikamkaribisha nyumbani ni mtaa mmoja, uzuri huku kwetu ikifika saa mbili kila mtuu ndani kwake, watu macho kwenye luninga wanaangalia Lowassa leo kafanya mafuriko wapi. Kilichoendelea huko ndani ni historia kwani ilikuwa ni mara ya kwanza kulala na mtu aliyenizidi miaka kama 20, kakawa ndio kamchezo ketu kisirisiri bila watu mtaani kujua.

Sasa mwezi uliopita binti yake wa mwisho anasoma Mkwawa (MUCE )alishikwa na homa ya ghafla nikapigiwa simu na huyo mama kwani hakuna mtu kuhusu kuumwa kwa binti yake na hakuna mtu, kutafuta sifa nikasimamia shoo binti akapelekwa hospitali mpaka akapata matibabu.

Tukiwa hospitalini na binti tulikuwa tunapiga stori za hapa na pale na tukabadilishana namba kisirisiri bila mama yake kujua kwani tulikuwa nae pamoja hospital. Sasa siku chache baada ya binti kuwa amepona siku moja nikampigia simu aje home alivyokuja nikajichinjia kilaini, Nikajikuta nimekula kuku na mayai yake.

Binti ameniganda ila sijampenda sana na hajui shughuli kulinganisha na mama yake, lazima nikiri kuwa yule mama shughuli anaiweza sana, nashukuru Mungu nasikia vyuo karibu kufunguliwa nitakuwa mbali na huyu binti.

Sasa leo nimekaa nikatafakari naona ninachofanya sio sahihi, huyu binti nimempita miaka kama 10 ila ana mwili mkubwa tukiongozana mtu hawezi kujua kama nimemkata age kihivyo, mama yake naye kanikata miaka kama 20 naona hapo hakuna mapenzi ya kweli, kupitia waraka huu natangaza kuwaacha rasmi.

Ukiacha suala la umri, kitendo cha kula kuku na mayai yake nahisi vita kuu ya tatu ya dunia inakaribia nyumbani kwangu.

Mwenyezi Mungu ni mwingi wa Rehema najua amenisamehe dhambi zangu, ni katika jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu Amen..

Najizuia tu kukuita punguani. Mungu huyo unayemwomba radhi kwa umalaya wako hana account JamiiForums. Nenda kanisani au msikitini ukapige magoti umwombe msamaha kabla hasira yake haijakuwakia.
 
Najizuia tu kukuita punguani. Mungu huyo unayemwomba radhi kwa umalaya wako hana account JamiiForums. Nenda kanisani au msikitini ukapige magoti umwombe msamaha kabla hasira yake haijakuwakia.
hata wewe ukinikalia swa na upunguani wangu nakupitia tu
 
Back
Top Bottom