Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,452
Jamani Mungu kweli ni waajabu?
Nambona shetani anatawala sana
Mungu ni muweza wa yote?
Mbona kamuacha shetani anafanya kazi zake
.
Tuseme ujweli kunabinadamu hua anaomba utajiri kwa Mungu anapewa wacha tu utajiri na mambo mengine
Ila kwa shetani papo hapo utayaona mabadiliko
wacha hivyo tunajua watu wengi tutachomwa karibia 95% huko na hakuna mtu alikufa akasema kuna mbingu au moto so inawezekana tunaaminishwa tu
Mimi sipingi kwamba Mungu yupo ila kwa ukweli sidhani kama anafanya kazi na binaadam kwani ameshindwa kuitoa dhambi
sisi binadamu tumekaa kwa uwoga et tutachomwa jamani, sote tunajua watu watakao enda mbinguni huko hawazidi 25% tena inaweza kupungua haina haja ya kutafuta kitu ambacho alienae wala hadhihiliki kwetu kama ilivyoandikwa
niliipenda imani na kuiamini ila huyo Mungu hakuwahi kunijibu basi na mimi naamua kuwa nitaishi kama nitakavyo wala siogopi chochote tena nipo tayari kwa chochote sio kufugwa kwenye madini ya kusadikika mimi nahisi hata hao waliotuletea hizi dini kunakitu walikiona kuja kuwatia watu uoga
Nimeamua hivi kwa sababu nidhahiri Mungu hajawahi kudhihirika kwetu ni kama unaomba upepo tu hakuna kinachofanyika
Mungu ikiwa unayajua haya basi naomba udhihirike kwangu na kutajua ni kweli ila kinyume na hapo mapenzi yangu niyo yatakayo nitawala
mimi nasema kuwa kwa haya maisha ya duniani kama ningekua mmoja ya hao malaika walio asii ningeitesa na kuivuta watu kwa shetani maana unafikiria shetani ni rahisi kumkuta na kukutokea na ufalme wake unadhihirika kwa urahisi
Lakini Mungu daah! Sijui nifanye nini?
GOOOD MORNING FATHER LUCIFER
Nambona shetani anatawala sana
Mungu ni muweza wa yote?
Mbona kamuacha shetani anafanya kazi zake
.
Tuseme ujweli kunabinadamu hua anaomba utajiri kwa Mungu anapewa wacha tu utajiri na mambo mengine
Ila kwa shetani papo hapo utayaona mabadiliko
wacha hivyo tunajua watu wengi tutachomwa karibia 95% huko na hakuna mtu alikufa akasema kuna mbingu au moto so inawezekana tunaaminishwa tu
Mimi sipingi kwamba Mungu yupo ila kwa ukweli sidhani kama anafanya kazi na binaadam kwani ameshindwa kuitoa dhambi
sisi binadamu tumekaa kwa uwoga et tutachomwa jamani, sote tunajua watu watakao enda mbinguni huko hawazidi 25% tena inaweza kupungua haina haja ya kutafuta kitu ambacho alienae wala hadhihiliki kwetu kama ilivyoandikwa
niliipenda imani na kuiamini ila huyo Mungu hakuwahi kunijibu basi na mimi naamua kuwa nitaishi kama nitakavyo wala siogopi chochote tena nipo tayari kwa chochote sio kufugwa kwenye madini ya kusadikika mimi nahisi hata hao waliotuletea hizi dini kunakitu walikiona kuja kuwatia watu uoga
Nimeamua hivi kwa sababu nidhahiri Mungu hajawahi kudhihirika kwetu ni kama unaomba upepo tu hakuna kinachofanyika
Mungu ikiwa unayajua haya basi naomba udhihirike kwangu na kutajua ni kweli ila kinyume na hapo mapenzi yangu niyo yatakayo nitawala
mimi nasema kuwa kwa haya maisha ya duniani kama ningekua mmoja ya hao malaika walio asii ningeitesa na kuivuta watu kwa shetani maana unafikiria shetani ni rahisi kumkuta na kukutokea na ufalme wake unadhihirika kwa urahisi
Lakini Mungu daah! Sijui nifanye nini?
GOOOD MORNING FATHER LUCIFER