Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Baniani mmoja alikuwa jela na sanamu wake wa kuabudu;kila siku akawa ana iabudu na
kuiomba atoke jela. Kwenye chumba hicho hicho kulikuwa na muislam naye akawa anasali na kumuomba
mungu atoke jela. Siku moja muislam akaachiliwa huru.Wakati anatoka baniani akamuuliza,"Vipi,wewe
nafanyaje mpaka iko toka,mimi naomba kila siku hapana toka!" Muislam akajibu,"Tatizo ni kuwa wewe na mungu wako nyote mko jela,atakae toa
mwenziwe nani?"
kuiomba atoke jela. Kwenye chumba hicho hicho kulikuwa na muislam naye akawa anasali na kumuomba
mungu atoke jela. Siku moja muislam akaachiliwa huru.Wakati anatoka baniani akamuuliza,"Vipi,wewe
nafanyaje mpaka iko toka,mimi naomba kila siku hapana toka!" Muislam akajibu,"Tatizo ni kuwa wewe na mungu wako nyote mko jela,atakae toa
mwenziwe nani?"