Mungu mpe Tundu Mughwai maisha marefu...

Alafu hizi ndio mada za kufutwa sasa zinaachwa tuu wakati mada za maana hazikatizi...huyu jamaa nim senge sana
 
Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu

Ni Mimi "MATAGA" mkuu
Polisi! Kunamtu anasherehekea msiba wa mheshimiwa Raisi huku.
 
Mods,
Mnamwacha huyu mtukanaji anajinafasi kwa kutukana watu? Msidhani tumemshindwa kama mnaona anayofanya yanasitahili toweni ruhusa tuendelee naye.
 
Naam ni maombi yangu kwa huyu mwanasiasa (diaspora)(teh teh teh) ya kwamba Mungu ampe misha marefu ili ashuhudie matokeo ya upando wake..

Ashuhudie maamuzi ya watu wenye hekima kwa imma kupendwa yeye au maiti..

Ashuhudie yeye na wajukuu same kuwa watanzania ni watu makini na hawakuwahi kufanya makosa..

Na mwisho kabisa ashuhudie kuwa kazi aliyoichagua aliikurupukia ni afadhali angefungua fremu akawa wakili kweli mtaani tu

Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu

Ni Mimi "MATAGA" mkuu
we heri James acha upuuzi😋😋😋😋
 
Sijui nijipendekeze ili niukwae uwaziri
20210326_135915.jpg
 
Naam ni maombi yangu kwa huyu mwanasiasa (diaspora)(teh teh teh) ya kwamba Mungu ampe misha marefu ili ashuhudie matokeo ya upando wake..

Ashuhudie maamuzi ya watu wenye hekima kwa imma kupendwa yeye au maiti..

Ashuhudie yeye na wajukuu same kuwa watanzania ni watu makini na hawakuwahi kufanya makosa..

Na mwisho kabisa ashuhudie kuwa kazi aliyoichagua aliikurupukia ni afadhali angefungua fremu akawa wakili kweli mtaani tu

Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu

Ni Mimi "MATAGA" mkuu
Nchi inaanza kurudi kwenye mstari baada ya miaka 5 ya hovyo hovyo. Thanks to God.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom