Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 62,545
- 108,238
Teh ni dem wangu huyo, nlikua nshamsahau...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh ni dem wangu huyo, nlikua nshamsahau...
Punguza wivu my wanguNaona mpenzi wake umekuja
Polisi! Kunamtu anasherehekea msiba wa mheshimiwa Raisi huku.Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu
Ni Mimi "MATAGA" mkuu
Adui mkuu hayupo.Unadhani ye tobo lissu ana maadui wangapi hapa Tanzania??
Ingia YouTube, Facebook na Instagram ndo utelewa nimaanisha nini
Una unyafuzi wa ubongo
we heri James acha upuuzi😋😋😋😋Naam ni maombi yangu kwa huyu mwanasiasa (diaspora)(teh teh teh) ya kwamba Mungu ampe misha marefu ili ashuhudie matokeo ya upando wake..
Ashuhudie maamuzi ya watu wenye hekima kwa imma kupendwa yeye au maiti..
Ashuhudie yeye na wajukuu same kuwa watanzania ni watu makini na hawakuwahi kufanya makosa..
Na mwisho kabisa ashuhudie kuwa kazi aliyoichagua aliikurupukia ni afadhali angefungua fremu akawa wakili kweli mtaani tu
Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu
Ni Mimi "MATAGA" mkuu
Heee hivi. NivweliKaribu sana
Unatia aibu !Alhamdulillah
Ni kweli, karibu piaHeee hivi. Nivweli
Nchi inaanza kurudi kwenye mstari baada ya miaka 5 ya hovyo hovyo. Thanks to God.Naam ni maombi yangu kwa huyu mwanasiasa (diaspora)(teh teh teh) ya kwamba Mungu ampe misha marefu ili ashuhudie matokeo ya upando wake..
Ashuhudie maamuzi ya watu wenye hekima kwa imma kupendwa yeye au maiti..
Ashuhudie yeye na wajukuu same kuwa watanzania ni watu makini na hawakuwahi kufanya makosa..
Na mwisho kabisa ashuhudie kuwa kazi aliyoichagua aliikurupukia ni afadhali angefungua fremu akawa wakili kweli mtaani tu
Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu
Ni Mimi "MATAGA" mkuu