Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,344
- 4,167
Naam ni maombi yangu kwa huyu mwanasiasa (diaspora)(teh teh teh) ya kwamba Mungu ampe misha marefu ili ashuhudie matokeo ya upando wake..
Ashuhudie maamuzi ya watu wenye hekima kwa imma kupendwa yeye au maiti..
Ashuhudie yeye na wajukuu same kuwa watanzania ni watu makini na hawakuwahi kufanya makosa..
Na mwisho kabisa ashuhudie kuwa kazi aliyoichagua aliikurupukia ni afadhali angefungua fremu akawa wakili kweli mtaani tu
Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu
Ni Mimi "MATAGA" mkuu
Ashuhudie maamuzi ya watu wenye hekima kwa imma kupendwa yeye au maiti..
Ashuhudie yeye na wajukuu same kuwa watanzania ni watu makini na hawakuwahi kufanya makosa..
Na mwisho kabisa ashuhudie kuwa kazi aliyoichagua aliikurupukia ni afadhali angefungua fremu akawa wakili kweli mtaani tu
Mungu mpe maisha marefu huyu mtu ili ajue kuna muda ni heri kufa kuliko kuishi ndani ya hasira za watu
Ni Mimi "MATAGA" mkuu