Mungu mkubwa: Nusura iwe siku mbaya kuliko zote maishani...

Kama ni mkatoliki utanielewa.
Upadri ni sakrament kama ubatizo
Dhambi za padri hazikuhusu muumin
kwani sie waumini hata tukiua tunanyang'anywa ubatizo wetu?

Ukitoa hiyo hela umechangia uinjilishaji kwa njia fulani
basi katoe hata kwa yatima

Siamini kama Mungu yu ndani ya paroko wangu ambae ana watoto kadhaa nje ya ndoa(my god! Kumbe hata ndoa hana)!
Nasisitiza nataka mwongozo wa kumrudishia Mungu kilicho chake katika namma inayofaa...
 
Ni suala la kiimani zaidi kama hauna, basi ni rahisi kuona kama unavyoona sasa..Kama Abraham angekua na mtazamo kama wako hakika alivyoambiwa amtoe kafara mwanae angeona ameambiwa amuuwe mwanae!!

Lipo kiimani zaidi..

Good day.

dini ni ulevi, so said Marx!
Kupeleka zaka mu-kanisa ni kuchangia taasisi kubwa.
Tazama maisha ya mapadre vs ya waumini wao afu linganua na maisha ya wakristo wa karne ya kwanza, waliouza kila walichokuwa nacho wakaishi shirika!
To hell my paroko!
 
...eeehee hadithi yako ina2fundisha nin xaxa....


..na ulifundishwa na nani....
 
Kama ni mkatoliki utanielewa.
Upadri ni sakrament kama ubatizo
Dhambi za padri hazikuhusu muumin
kwani sie waumini hata tukiua tunanyang'anywa ubatizo wetu?

Ukitoa hiyo hela umechangia uinjilishaji kwa njia fulani
basi katoe hata kwa yatima

kuna uinjilishaji wowote uliobaki ndani ya kanisa langu?
Padre ni role model kwa waumini.
Anyways, unakumbuka Paulo alisema nini kuhusu Askofu?
 
Aseeeeeeeeeeeeee!
Duh!!!!:poa

halafu baada ya kumuwahi yule mtoto asikanyagwe na gari, mi nilikuwa pale kwa Jose, nikakwambia kunywa soda basi angalao ukienda kumpokea kakao.......(sijui ulikuwa unaenda kumbeba mgongoni!!) ....duh!! uklivyokuwa unatetemeka mikono, hadi ukaangusha chupa ya soda ikapasuka.

pole sana.
 
dini ni ulevi, so said Marx!
Kupeleka zaka mu-kanisa ni kuchangia taasisi kubwa.
Tazama maisha ya mapadre vs ya waumini wao afu linganua na maisha ya wakristo wa karne ya kwanza, waliouza kila walichokuwa nacho wakaishi shirika!
To hell my paroko!

Padre ale wapi basi! Imeandikwa mtumishi wa Mungu atakula madhabahuni pa bwana. Wewe kuwa na maisha mazuri ni poa lakini kwa padre ni nongwa!
 
Aseeeeeeeeeeeeee!
Duh!!!!:poa

halafu baada ya kumuwahi yule mtoto asikanyagwe na gari, mi nilikuwa pale kwa Jose, nikakwambia kunywa soda basi angalao ukienda kumpokea kakao.......(sijui ulikuwa unaenda kumbeba mgongoni!!) ....duh!! uklivyokuwa unatetemeka mikono, hadi ukaangusha chupa ya soda ikapasuka.

pole sana.

Wapi wewe?
Mimi nilikuwa na Aswile, mchezaji wa zamani wa Simba!
Unamjua weye?
 
Padre ale wapi basi! Imeandikwa mtumishi wa Mungu atakula madhabahuni pa bwana. Wewe kuwa na maisha mazuri ni poa lakini kwa padre ni nongwa!

mapadre wa Katoliki kule ni zaidi ya kula.
Hapo juu nimesema linganua maisha ya wakristo wa karne ya kwanza na hawa mapadre... Any similarity?
 
Pole sana Mphamvu!
Ubarikiwe!!!!!!!!!!!!!!!!
Kweli Mungu mkubwa.
Naamini lipo funzo umepata toka
mkasa huu ambalo hutolisahau.
 
Pole sana Mphamvu!
Ubarikiwe!!!!!!!!!!!!!!!!
Kweli Mungu mkubwa.
Naamini lipo funzo umepata toka
mkasa huu ambalo hutolisahau.
nashukuru ndugu!

yeah! Aswile, the football legend wa bongo aliniambia kuwa hata siku moja usije jidai kuwa huwezi kwenda jela...
Na si wote wanaokwenda jela ni wahalifu!
 
Back
Top Bottom