Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,200
Tena asithubutu kujifanya muungwana kutafuta ndugu wa mwenyenyumba kama anavyoshauriwa humu na wenye wivu. Atulie kimya ajilie pango kama mwenyewe yupo atarudiDogo umekosea sana kuja hapa. Kwa herufi kubwa ”UMEKOSEA SANA KUJITANGAZA HAPA. IKIWEZEKANA FUTA HUU UZI FASTA.. Hiyo nyumba ni yako. Nakuambia futa huu uzi hivi watu hawachelewi kuunganisha dot...
MUNGU ana maajabu yake. Hapo amempatia kwa njia hiyoTena asithubutu kujifanya muungwana kutafuta ndugu wa mwenyenyumba kama anavyoshauriwa humu na wenye wivu. Atulie kimya ajilie pango kama mwenyewe yupo atarudi
Nilijua kuna mtu atasdhani hii haiwezi kutokea. Nakuhakikishia haya Dar yapo sana maana wenye nazo serikalini walificha Mali zao na hasa wanapokuwa hawana maelewano mazuri na familia.hadithi ya kutunga hii....na huo uandishi si wa std 7 kabisa
Hujawahi kusikia mwanaume anapanga kwenye nyumba aliyojenga mkewe na yeye analipa kodi bila kujua anamlipa mkewe aliyejenga kwa fedha za mumewe bila mumewe kujua?Bado nawaza hii sio chai kweli
Maelezo yako ni tofauti na ya mleta madaHujawahi kusikia mwanaume anapanga kwenye nyumba aliyojenga mkewe na yeye analipa kodi bila kujua anamlipa mkewe aliyejenga kwa fedha za mumewe bila mumewe kujua?
Huioni point yangu ilipokaa? Kuna watu wanajenga nyumba bila kumwambia mwanafamilia yeyote na Mungu anapowachukua ghafla tatizo linakuwa kubwa. Wengine hasa wanawake wanawajulisha mashoga zao na wanapopatwa na mauti ghafla mashoga wasio waaminifu wanajimilikisha majengo hayo bila kuwashirikisha wanafamilia.Maelezo yako ni tofauti na ya mleta mada
Hata viwanja huwa tunaokotaKama kichwa cha habari kilivyoanza hapo juu wengi watafikiri labda ni utani lakini sio utani ni kweli.
Mimi nimezaliwa mtwara,mara baada ya kumaliza darasa la saba nikawa sina dili,nikawa niponipo tu kijijini lakini akili zangu zikinituma nitimkie dar kutafuta maisha...
😁😁😁😁 Aisee mimi namendea kiwanja jirani tunapakana miaka zaidi ya 6 sasa hajitokezi mwenye kiwanja Wala hakuna anaemjua si viongozi wala nini..Dogo umekosea sana kuja hapa. Kwa herufi kubwa ”UMEKOSEA SANA KUJITANGAZA HAPA. IKIWEZEKANA FUTA HUU UZI FASTA.. Hiyo nyumba ni yako. Nakuambia futa huu uzi hivi watu hawachelewi kuunganisha dot...
Kwanza kama ni kweli kaa kimya na ufute huu uzi.Kama kichwa cha habari kilivyoanza hapo juu wengi watafikiri labda ni utani lakini sio utani ni kweli.
Mimi nimezaliwa mtwara,mara baada ya kumaliza darasa la saba nikawa sina dili,nikawa niponipo tu kijijini lakini akili zangu zikinituma nitimkie dar kutafuta maisha...
Nina wasi wasi na mleta mada.Huioni point yangu ilipokaa? Kuna watu wanajenga nyumba bila kumwambia mwanafamilia yeyote na Mungu anapowachukua ghafla tatizo linakuwa kubwa. Wengine hasa wanawake wanawajulisha mashoga zao na wanapopatwa na mauti ghafla mashoga wasio waaminifu wanajimilikisha majengo hayo bila kuwashirikisha wanafamilia.
Una documents zozote?Kama kichwa cha habari kilivyoanza hapo juu wengi watafikiri labda ni utani lakini sio utani ni kweli.
Mimi nimezaliwa mtwara,mara baada ya kumaliza darasa la saba nikawa sina dili,nikawa niponipo tu kijijini lakini akili zangu zikinituma nitimkie dar kutafuta maisha.
Nikatafuta vibarua vya kupalilia mikorosho ili nipate nauli ya kwenda dar maana akili yangu haipo sawa nafikiria dar tu.ilikuwa nikiona vijana wenzangu wakija kijijini kutoka dar mambo yao safi,nguo nzuri wana fedha za kutosha.nikapiga mzigo nikapata 170,000/=
Mwaka 2010 nikanda gari pruuu mpaka dar,breki ya kwanza tandika sudani.nimeshukapa pale sina ramani nashangaa shangaaa sina pa kwenda.usiku ukaingia nikapata menu nikalala stand.
Siku ya pili nikakutana na jamaa mmoja katika kupiga story nikamwambia mm natoka mtwara kumbe na yy anatoka mtwara lakini mshikaji alikuwa anafanya biashara ya kuuza mayai.basi nikamwambia mm ndio nimeingia jana yake kutoka mtwara, akaniambia mjini kugumu nikwambia nataka nijumuike na yy tufanye biashara ya mayai akaniambia hakuna tatizo.mshikaji alikuwa anaishi mbagala mgeni nani.
Siku zikaenda vijihela vyangu vikaisha mtaji ukafa kwasababu ya mahitaji ya kujikimu kila siku.kutabalisha biashara tukauza nguo za mali kauli,tembezeza sana nguo kila sehemu dar lkn nikao nikazi ngumu wakati mwingine unaporwa nguo unaporwa hela.
2011 kuna jirani mmoja alikuwa ni fundi ujenzi akanishawishi niwe msaidizi wake ktk ujenzi nimwambia hamna shida.
Site ipo mbweni,basi wasaidizi walikuwa kama watano.nyumba ilikuwa ya ghorofa moja.nyota ilianza kuwaka baada bosi mwenyumba kuniambia niwe mlinzi wa malighafi za ujenzi,mshahara 100,000/= kwangu nilimshuru mungu sana,huku nalipwa kama kibarua na mwisho wa mwezi nadaka.
Yote kwa yote site ikaisha kila kitu boss akajenga kikota kidogo akaniambia nikae pale kama mlinzi na mshahara ukawa 150,000/=nikashukuru sana.mchana naenda kufanya daika waka nyingine usiku pakulala papo.
Mwisho wa mwezi ukifika boss anakuja na funguo za nyumba yote nafanya usafi na ananiletea mshahara wangu.
Mwezi wa kwanza alikuja kama kawaida,mwezi alikuja kama kawaida,mwezi watatu alikuja akaniachia funguo za vyumba vyote akaniambia nyumba anaipangisha kwahiyo nyumba iwe safi muda wote na nisitoke kwenda kokote ili akileta mteja apate kuikagua.
Basi nilikaa na funguo nisubiri boss alete wateja miezi minne ikapita kimya na mshahara wangu nilikuwa sijapata nikaamua kwenda hewani kumtafuta boss simu yake haipatikani. Miaka 10 imepita sijamuona boss na namba yake baada ya miaka ikawa amepewa mteja mwingine.
Mwaka jana niliamua kujilipua nikaamua kuipangisha ile nyumba 700,000/= kwa mwezi.mpangaji aliponiona nikamwambia mm ndio mwenyumba alikataa maana nipo kisela na nimechoka kimaisha.na hajui kinachoendelea kuhusu nyumba.
Swali ninalojiuliza yule boss yupo hai kweli maana miaka 10 imepita.wana nzengo au nimekosea kuipangisha.
Mwenye ushauri wowote anishauri