Mungu Lihurumie Taifa hili na Wananchi Wako!

Apr 27, 2006
26,588
10,374
18162_1381895546651_1209820481_31145321_6990997_n.jpg


Mungu atuhurumie sana hili taifa siku moja turudie hizi enzi za honor and dignity kwa viongozi wetu, walikuwa na heshima, walikuwa na ustaraabu kidogo, waliwaheshimu sana wananchi, waliongea kero za wananchi sio kero za mafisadi na kulindana.

May God Bless My Nation Tanzania.

Respect.


FMEs!
 
Inauma sana,kwani sasa vikao vyao vyote ni kusutana na kuumbuana,hakuna lolote wanalojadili la maana, Enzi za kuheshimiana na wakati wa kuongelea kero za wananchi umeshapita sasa ni wakati wa viongozi kujifikilia wao na matumbo yao ndugu jamaa zao na marafiki kwa mbali ndo mwananchi wa kawaida anafuata.
 
Kero kubwa ya wananchi sasa ni huku kuibiwa fedha zao, karibu zote, na viongozi. Kuzungumzia ufisadi ni kuzungumzia kero za wananchi. Zamani ufisadi ulikuweko, tena kwa sana tu, lakini ulikuwa ukifumbiwa macho.

Iweje Mzee ES leo ulaumu viongozi wabovu kuumbuana?
 
Kero kubwa ya wananchi sasa ni huku kuibiwa fedha zao, karibu zote, na viongozi. Kuzungumzia ufisadi ni kuzungumzia kero za wananchi. Zamani ufisadi ulikuweko, tena kwa sana tu, lakini ulikuwa ukifumbiwa macho.

Iweje Mzee ES leo ulaumu viongozi wabovu kuumbuana?

- Labda ungeonyesha popote nilipowahi kutetea ufisadi au mafisadi, sikubaliani na siasa za majina kwa sababu siku zote ninaamini kwamba taifa letu ni bigger than majina ya baadhi ya viongozi, siku zote ninalilia ushauri wa sound policies kwa our nation wengi hapa tunalilia majina ya viongozi ndio tofauti yetu ilipo, sililii kuwatetea viongozi wa kabila moja na dini flani hata siku moja sina hizo agenda na the most important of all sifuati bendera bila ya hoja zangu binafsi za kusimamia msimamo wangu.

- Kuzungumzia ufisadi kwa namna ya kulindana sio kuzungumzia kero za wananchi, that is my point samahani sana naona hukuelewa siwezi hata siku moja ku-support kulindana na maovu, na ni wapi viongozi wameumbuana, mkuu vipi are you sure tupo ukurasa mmoja hapa au?

Respect.


FMEs!
 
18151_300933767970_658587970_3492309_2298976_n.jpg


This is how viongozi wetu wanajitafutia uongozi, huko kijijini hakuna mwenye any-idea kwamba huyu kiongozi ana shutuma za kupewa rushwa za radar, amekodisha lori na wapambe kibao anapiga kampeni na atashinda tena...lol!

Respect.


FMEs!
 
Mzee ES,

Majina yalishatajwa na vyombo vya kisheria. SFO imemtaja Chenge. Ripoti ya Bunge imemtaja Lowasa. Na majina zaidi yametajwa Bungeni. Sasa wana CCM waache kutaja majina eti ili waheshimiane?

Mzee ES, CCM inanuka. Juzi Sofia Simba kajaribu kusema SFO imemsafisha Chenge. Ni uozo toka kwa watu waliooza. Hawaheshimiki, lakini wewe unataka waheshimike!
 
Mungu atuhurumie sana hili taifa siku moja turudie hizi enzi za honor and dignity kwa viongozi wetu, walikuwa na heshima, walikuwa na ustaraabu kidogo, waliwaheshimu sana wananchi, waliongea kero za wananchi sio kero za mafisadi na kulindana.

May God Bless My Nation Tanzania.

Respect.

FMEs!
.
Mzee FMEs, enzi za honor and dignity, za enzi zile, zilitokana na hali halisi ya enzi hizo kwa sababu viongozi waliwaheshimu sana wananchi, hisi sasa ni enzi za mafisadi na kulindana viongozi wetu wanawaheshimu na kuwalinda hao mafisadi, ila wanaowachagua hao viongozi ni sisi sisi wananchi ambao viongozi wetu wanatudharau.

October ndiyo hiyo inakuja, wananchi wenyewe ndio sisi pamoja na mimi na wewe, yule na wale, sisi na wao ili mradi, tutawapa tena!.
 
Kero kubwa ya wananchi sasa ni huku kuibiwa fedha zao, karibu zote, na viongozi. Kuzungumzia ufisadi ni kuzungumzia kero za wananchi. Zamani ufisadi ulikuweko, tena kwa sana tu, lakini ulikuwa ukifumbiwa macho.

Iweje Mzee ES leo ulaumu viongozi wabovu kuumbuana?
Mwalimu Moshi,
Ni kweli ufisadi ulikuwepo. Lakini haukufikia kasi ya ufisadi ulio"mushroom" kuanzia enzi za Mkapa. Sasa hivi fisadi anaogopwa!
 
Ama kweli, siku hizi vikao vyote vya CCM vimekuwa ni malumbano utafikiri taarabu, mie huwa nawashangaa sana wanapomualika John Komba na TOT kuburudisha wajumbe wakati wao wenyewe ni Taarabu tosha, Sophia simba anaimbisha viti maalum wengine wanafuatia, ovyo sana ni mipasho kwa kwenda mbele!
 
Mimi naamini sio wapiga vita ufisadi wote wanalengo moja, hii vita inamechukua mlengo wa visasi na kukosa fursa, hii vita inapiganwa na watu ambao mwisho wa siku hawajui kwanini hasa wanapigana, na hali hii unyima uwezo wa wapambanaji kua Imara na Madhubuti katika maamuzi yao.

Wengi hawako tayari kupoteza nafasi zao, ulaji wao, kwa kifupi watu wengi hawako tayari kujitoa Muhanga kwa faida ya taifa.

Inapofikia wakati wakuchukua maamuzi magumu hapo ndipo unaanza kuona mpasuko wa uoga.
 
18151_300933767970_658587970_3492309_2298976_n.jpg


This is how viongozi wetu wanajitafutia uongozi, huko kijijini hakuna mwenye any-idea kwamba huyu kiongozi ana shutuma za kupewa rushwa za radar, amekodisha lori na wapambe kibao anapiga kampeni na atashinda tena...lol!

Respect.

FMEs!
Ni mkakati tu ndugu yangu. Jamaa wamehakikisha wanatengeneza hela za kufa mtu wakati sisi tunakuwa maskini wa kutupwa ili kila siku tuwe tunapiga magoti mbele zao tukiwalilia msaada wa shida zetu. Ukiona watu wachache wanataka kumiliki utajiri wa nchi nzima unategemea nini? Hatuna namna nyingine ni kumuomba mungu huku tukijitahidi kusaidia wenzetu wengi pia wapate elimu tusiingie kwenye huu mtego wa mafisadi.
 
hawa viongozi wetu hawana tofauti na colonial masters wote walio wai kutupitia nia ni moja kumkandamiza mtanzania na kuifilisi tanzania.

Tatizo sio fisadi bali ni system inayo ruhusu ufisadi, mpaka tutapo jifunza kuheshimu sheria na kuanza upya watalindana milele.
 
.
Mzee FMEs, enzi za honor and dignity, za enzi zile, zilitokana na hali halisi ya enzi hizo kwa sababu viongozi waliwaheshimu sana wananchi, hisi sasa ni enzi za mafisadi na kulindana viongozi wetu wanawaheshimu na kuwalinda hao mafisadi, ila wanaowachagua hao viongozi ni sisi sisi wananchi ambao viongozi wetu wanatudharau.

October ndiyo hiyo inakuja, wananchi wenyewe ndio sisi pamoja na mimi na wewe, yule na wale, sisi na wao ili mradi, tutawapa tena!.

Ukweli ni kwamba hatuwapi bali wanatuibia!! CCM ni waoga na ndio maana wanafanya kila hila juu ya mahakama kuu ya nchi kuruhusu private candidates wao bado wanapinga !! Kama waliweza kubadilisha katiba kwa dharulu baada ya hukumu ya marehemu jaji Rugakingira kuruhusu private candidates kwanini washindwe kubadili hiyo hiyo katiba kwa dharula kuwaruhusu private candidates washiriki uchaguzi mwezi October?
 
18151_300933767970_658587970_3492309_2298976_n.jpg


This is how viongozi wetu wanajitafutia uongozi, huko kijijini hakuna mwenye any-idea kwamba huyu kiongozi ana shutuma za kupewa rushwa za radar, amekodisha lori na wapambe kibao anapiga kampeni na atashinda tena...lol!

Respect.

FMEs!
Juzi kwenye mswada wa mapesa ya kutumia kwenye kampeni alimbana Manasheria Mkuu wa sasa akubali kuingiza matumizi ya pesa kwa ajili ya watu kama hao aliojaza kwenye lori hadi akafanikiwa. Haijulikani sasa atakuwa nao wangapi. Kwani watu wa PCCB hawaruhusiwi kumwita mahakamani akaieleza jinsi alivyopata "visenti" vile?
 
Wakuu Mungu huwa anawasaidia wale wanaanza kuonesha juhudi ya kutaka kujikwamua, tukionekana seriously tunafanya hivyo then mungu atakuwa nasi. Kama nchi hatuna mwelekeo kwa hiyo hatuwezi kumwomba mtu yoyote atusaidie kutufikisha ambako wenyewe hatujui. Ukiangalia toka ameondoka mkoloni mpaka leo hakuna lolote la maana tulilofanya, ukiangalia shule alizojenga mwingereza na tulizojenga baada ya yeye kuondoka unaweza kuona za mkoloni mpaka leo ziko intact za kwetu zinatisha, barabara labda tunaweza kuhesabu lakini nyingi tunakarabati tu za mkoloni, bandari, airports, cities ni sifuri, sanasana tumeharibu zilizokuwepo.

Systems zote walizoacha sasa hazifuction, political systems zimefkufa, political institutions corrupt, security systems zimekuwa politicized. Yaani tunaona kuwa kila kitu rotten, ni kama tunatakiwasasa tuanze upya ile tuweze kupiga hatua. Otherwise hata Mungu atatuacha.
 
Jamani naomba kujuzwa, hivi Mwalimu alikuwa akivaa shati la kijani nyakati za vikao au shughuli za chama? Binafsi sikuwahi kuona....maaana hawa ndugu zet huwa hata shughuli za kiserikali au kitaifa wao wanatinga kijani tu!
 
18151_300933767970_658587970_3492309_2298976_n.jpg


This is how viongozi wetu wanajitafutia uongozi, huko kijijini hakuna mwenye any-idea kwamba huyu kiongozi ana shutuma za kupewa rushwa za radar, amekodisha lori na wapambe kibao anapiga kampeni na atashinda tena...lol!

Respect.


FMEs!
Wanyantuzu wanakuambia kwanza alizoiba ni chache,hahah huyo ni Ngosha,bageshi aka bagesi
 
Back
Top Bottom