William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mungu atuhurumie sana hili taifa siku moja turudie hizi enzi za honor and dignity kwa viongozi wetu, walikuwa na heshima, walikuwa na ustaraabu kidogo, waliwaheshimu sana wananchi, waliongea kero za wananchi sio kero za mafisadi na kulindana.
May God Bless My Nation Tanzania.
Respect.
FMEs!