MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Ninaogopa sana hali itakayo jitokeza igunga baada ya matokeo kutangazwa igunga, haswa pale CCM ikitangazwa kidedea, kwani sidhani kama cdm watakubaliana nayo kiurahisi kwani mpaka sasa cdm inaonekana inaweza kushinda. E Mungu tuepushe na machafuko igunga.