imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Ni mengi yamekuwa yakitokea kwenye kampenzi za kuwania ubunge wa jimbo hilo dogo la igunga baada ya Rostam kuliachia jana tumeshuhudia mikatano ya kampeni msululu kama magomen mwembechai,usalama na jangwani mikutano iliyokaribiana sana na wengi tulidhani ni ishara mbaya.
Lakini letu tangu asubuhi hali ni shwari igunga hakuna vurugu zozote zaidi ya mabishano ambaya huwa ni kawaida kwa chaguzi zote TZ.
Wote tuiombee Igunga wenzetu wafanye uchaguzi kwa Amani.
MUNGU IBARIKI IGUNGA
Lakini letu tangu asubuhi hali ni shwari igunga hakuna vurugu zozote zaidi ya mabishano ambaya huwa ni kawaida kwa chaguzi zote TZ.
Wote tuiombee Igunga wenzetu wafanye uchaguzi kwa Amani.
MUNGU IBARIKI IGUNGA