Ndugu wanaJF, nimejaribu kujiuliza hili swali ila sikupata majibu kabisa! 'HIVI MUNGU HUWA ANAKUWA UPANDE GANI IKITOKEA UPANDE MMOJA UNADHULUMU NA MWINGINE UNADAI HAKI? Kama anakuwa upande wa haki, ni kwanini basi upande wa dhuluma huwa unashinda? Na kama anakuwa upande wa dhuluma, ni kwanin akae upande huo ilihali anajua wapi haki ilipo?
kwa maana hiyo kama Mungu yu upande wa Watz waliopigika na maisha, kwanin basi anakubali MAGAMBA washinde kwa ujanjaujanja na waendelee kutunyanyasa?
kwa maana hiyo kama Mungu yu upande wa Watz waliopigika na maisha, kwanin basi anakubali MAGAMBA washinde kwa ujanjaujanja na waendelee kutunyanyasa?