Ghost boss
Member
- May 3, 2019
- 33
- 56
Kuna habari inatembea sasa ikimwonesha mvuvi anayedaiwa kuvua samaki mwenye thamani ya pesa za Tanzania billion 6 na anadaiwa baada ya kumvua alimla na wanakijiji wenzie. Kwa haraka haraka hakuna anayeweza kumlaumu jamaa maana angejuaje kama thamani yake ndio hiyo.
Ila swali nikuwa huyu jamaa si mvuvi, anavua kibiashara? Kama anavua kibiashara labda tungesema angemuuza lakini hapana asingeweza, ila alijua leo amepata samaki la ajabu ajabu hivyo akapiga nalo picha kuonyesha ni ajabu, jamaa alipiga picha na billion sita bila kujua the end akamla.
Ila nimejifunza kitu kupitia huyu mvuvi kwamba unapopatwa na jambo lolote lile lisilo la kawaida Basi jipe muda huwenda muda utatibu hilo jambo au ndio fursa ya kufanikiwa kupitia jambo ilo. Mimi siwezi kushangaa alichokifanya cha kumla, sio dhambi ila dah!
Kala billion sita akiwa bado kijana sana. Binafsi niseme tu kwamba kila mtu awe amesoma, hajasoma, naishi mjini au kijijini, awe mweupe au mweusi awe vyovyote vile Mungu ajali yeye atampa fursa ya kuwa tajiri ila kuuchukua ni.😯
Nakumbuka niliwahi sema jambo laajabu au wazo la ajabu ambalo kila MTU analistajabia ilo ndilo lenye kuleta mafanikio ila jambo la kufanana ni umasikini tu. Jamaa alivua samaki la kipekee bila kujua upekee ndio utajiri ila akamla na kijiji.
Simlaumu najua hakujua ila somo tumepata.
Ila swali nikuwa huyu jamaa si mvuvi, anavua kibiashara? Kama anavua kibiashara labda tungesema angemuuza lakini hapana asingeweza, ila alijua leo amepata samaki la ajabu ajabu hivyo akapiga nalo picha kuonyesha ni ajabu, jamaa alipiga picha na billion sita bila kujua the end akamla.
Ila nimejifunza kitu kupitia huyu mvuvi kwamba unapopatwa na jambo lolote lile lisilo la kawaida Basi jipe muda huwenda muda utatibu hilo jambo au ndio fursa ya kufanikiwa kupitia jambo ilo. Mimi siwezi kushangaa alichokifanya cha kumla, sio dhambi ila dah!
Kala billion sita akiwa bado kijana sana. Binafsi niseme tu kwamba kila mtu awe amesoma, hajasoma, naishi mjini au kijijini, awe mweupe au mweusi awe vyovyote vile Mungu ajali yeye atampa fursa ya kuwa tajiri ila kuuchukua ni.😯
Nakumbuka niliwahi sema jambo laajabu au wazo la ajabu ambalo kila MTU analistajabia ilo ndilo lenye kuleta mafanikio ila jambo la kufanana ni umasikini tu. Jamaa alivua samaki la kipekee bila kujua upekee ndio utajiri ila akamla na kijiji.
Simlaumu najua hakujua ila somo tumepata.