Nzuguni one
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 1,153
- 474
Bilioni sita katafuna
Bado nadhani yupo njiani anaelekea kwa wakalaBado tu jamani alietoa namba hajapokea hela mpaka muda huu, Kijana wa jana
Kama ni Mvuvi wa siku zote,atapata tena kama Laizer!!Mimi nashaur uyo jamaa arudi sehemu ile ile alipolivua hilo lisamaki yawezekana akapata samaki la tilioni moja
Ila Jamaa shida yake haikua pesa, ndiyo maana hakutaka hata kumuuza kwa vipande vipande kwa Wanakijiji,yeye shida yake ilikua afurahi na Wana Kijiji wenzie ndiyo maana akawapa free!!Thinking gani hii
Angeajiri watu wangapi angepata hiyo pesa kwako wao kula uyo samaki ambaye washampeleka chooni ni bora zaidi.
P.......Ila Jamaa shida yake haikua pesa
Nadhani atakua na Kinga ya Magonjwa mengi sana,likiwepo la Corona!!Ngoja niulize swali yawezekana wadau wanaongelea tu bilioni 6 lakini wasijue kitu, hivi uyo samaki kinachofanya mpk awe na thamani kubwa kiasi hicho ni kitu gani aswaaa,, embu wajuzi mutuambie au magamba yake ni dhahabu au kinyesi chake kinatumika kutengeneza madini embu wajuzi mtuambie kitu hapa
Brand tuNgoja niulize swali yawezekana wadau wanaongelea tu bilioni 6 lakini wasijue kitu, hivi uyo samaki kinachofanya mpk awe na thamani kubwa kiasi hicho ni kitu gani aswaaa,, embu wajuzi mutuambie au magamba yake ni dhahabu au kinyesi chake kinatumika kutengeneza madini embu wajuzi mtuambie kitu hapa
Brand tu
Saltbae nyama yake moja ya kilo 5 tu anauza 200M.
Acha ubishiHakuna samaki wa bilioni 6 dunia hii, na hatakaa atokee.Hiyo ni kamba.
duh sijui lkn yawezekanaNadhani atakua na Kinga ya Magonjwa mengi sana,likiwepo la Corona!!
πππ0693357015
Tayari imesomaπππ