Mungu hana muujiza, unaitwa muujiza kwa sababu akili za binadamu haziwezi kuelewa

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,006
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili ikishaelewa na kuuelezea muujiza unaitwa science.

In God point of view hana muujiza Kwa sababu kwake yeye kila jambo kina maelezo, mfano hapo zaman watu walikua wanaamin binadamu anaweza paa, lakin ilichukua miaka mingi sana mpaka ndege ikaja kutengenezwa (akili ikaja kuelewa)

Na hata sahiv wako watu wanaoona kupaa Kwa ndege, kuongea Kwa simu, na kutumia fax ni muujiza, lakin wako watakao kuelezea jinsi gan hivyo vitu vinafanyika.

Ndo maana watu wote wabunifu kabla hawajagundua kitu chochote wanakua na imagination flani hivi ndan yao, baada ya hapo wanatumia akili kuitengenezea formula ili kieleweke na watu wengine.

Na kinachowafanya watu wa dini wadharauliwe ni Kwa sababu wao wanaishia hatua ya kwanza ambao ni muujiza, hawaend hatua ya pili ya kuingiza akili kazin ili watengeneze formula ili iwe rahis Kwa watu wengine kuelewa.

Kuna watu wanaombea watu wanapona, nataka nikuhakikishie kwamba kuna formula nyuma yake inayoelezea ilo tukio lilivyotokea.

Na ndo maana Mungu alimpa mwanadamu akili, lakin jambo LA ajabu watu hawatumii hata asilimia kumi ya akili walizonazo, ndo maana mambo mengi yamekaa kimiujiza, lakin watu wangekua na uwezo wa kutumia akili angalau asilimia 90 kusingekua na kitu kinachoitwa miujiza.

Ndo maana ni Hatar sana Kwa viongoz wa dini kulazimisha watu kuishi Kwa muujiza, Kwa sababu Kwa kufanya hivyo kunaua ubunifu na uvumbuzi, na ndo kutokuelewana Kwa watu wa Dini na wanascience kunapokuja
 
Vp kutokuelewana kwa wanasayansi na watu wa dini katika kinachoitwa imani? Mfano suala la kuwepo Mungu linahitaji imani na si vinginevyo,je wewe unalizungumziaje hili?
 
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili ikishaelewa na kuuelezea muujiza unaitwa science.

Sasa vipi akili za binadamu zikielewa. Unakuwa tena sio muujiza au ? Hapa nataka nikuonyeshe ya kuwa maana uliyoitoa haina mashiko na si ya kweli.
 
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili ikishaelewa na kuuelezea muujiza unaitwa science.

In God point of view hana muujiza Kwa sababu kwake yeye kila jambo kina maelezo, mfano hapo zaman watu walikua wanaamin binadamu anaweza paa, lakin ilichukua miaka mingi sana mpaka ndege ikaja kutengenezwa (akili ikaja kuelewa)

Na hata sahiv wako watu wanaoona kupaa Kwa ndege, kuongea Kwa simu, na kutumia fax ni muujiza, lakin wako watakao kuelezea jinsi gan hivyo vitu vinafanyika.

Ndo maana watu wote wabunifu kabla hawajagundua kitu chochote wanakua na imagination flani hivi ndan yao, baada ya hapo wanatumia akili kuitengenezea formula ili kieleweke na watu wengine.

Na kinachowafanya watu wa dini wadharauliwe ni Kwa sababu wao wanaishia hatua ya kwanza ambao ni muujiza, hawaend hatua ya pili ya kuingiza akili kazin ili watengeneze formula ili iwe rahis Kwa watu wengine kuelewa.

Kuna watu wanaombea watu wanapona, nataka nikuhakikishie kwamba kuna formula nyuma yake inayoelezea ilo tukio lilivyotokea.

Na ndo maana Mungu alimpa mwanadamu akili, lakin jambo LA ajabu watu hawatumii hata asilimia kumi ya akili walizonazo, ndo maana mambo mengi yamekaa kimiujiza, lakin watu wangekua na uwezo wa kutumia akili angalau asilimia 90 kusingekua na kitu kinachoitwa miujiza.

Ndo maana ni Hatar sana Kwa viongoz wa dini kulazimisha watu kuishi Kwa muujiza, Kwa sababu Kwa kufanya hivyo kunaua ubunifu na uvumbuzi, na ndo kutokuelewana Kwa watu wa Dini na wanascience kunapokuja
Bro.ukisema muujiza kwa uelewa na ufahamu wako wewe ni nini maana yake?? Tuanzie hapo
 
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili ikishaelewa na kuuelezea muujiza unaitwa science.

In God point of view hana muujiza Kwa sababu kwake yeye kila jambo kina maelezo, mfano hapo zaman watu walikua wanaamin binadamu anaweza paa, lakin ilichukua miaka mingi sana mpaka ndege ikaja kutengenezwa (akili ikaja kuelewa)

Na hata sahiv wako watu wanaoona kupaa Kwa ndege, kuongea Kwa simu, na kutumia fax ni muujiza, lakin wako watakao kuelezea jinsi gan hivyo vitu vinafanyika.

Ndo maana watu wote wabunifu kabla hawajagundua kitu chochote wanakua na imagination flani hivi ndan yao, baada ya hapo wanatumia akili kuitengenezea formula ili kieleweke na watu wengine.

Na kinachowafanya watu wa dini wadharauliwe ni Kwa sababu wao wanaishia hatua ya kwanza ambao ni muujiza, hawaend hatua ya pili ya kuingiza akili kazin ili watengeneze formula ili iwe rahis Kwa watu wengine kuelewa.

Kuna watu wanaombea watu wanapona, nataka nikuhakikishie kwamba kuna formula nyuma yake inayoelezea ilo tukio lilivyotokea.

Na ndo maana Mungu alimpa mwanadamu akili, lakin jambo LA ajabu watu hawatumii hata asilimia kumi ya akili walizonazo, ndo maana mambo mengi yamekaa kimiujiza, lakin watu wangekua na uwezo wa kutumia akili angalau asilimia 90 kusingekua na kitu kinachoitwa miujiza.

Ndo maana ni Hatar sana Kwa viongoz wa dini kulazimisha watu kuishi Kwa muujiza, Kwa sababu Kwa kufanya hivyo kunaua ubunifu na uvumbuzi, na ndo kutokuelewana Kwa watu wa Dini na wanascience kunapokuja
Magic is indistinguishable from advanced technology.
Ila mungu anamiujiza mikubwa zaidi
Kuninginiza Dunia na vilivyomo hewani Bila mhimili wowote ..si jambo dogo kwa mwanadamu Ila ni dogo sana kwa Allah.
Speaking of Allah means mungu muumba muabudiwa
 
Hii kkuita vitu miuujiza hhudumazzza akili #nasimama na mtoa mada
Yaaa, ni kwamba kila jambo katika dunia kuna sheria ina govern jambo hilo ila kutokana na upofu na kushindwa kufahamu utenda kazi wake tunatupia muujiza.
 
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili ikishaelewa na kuuelezea muujiza unaitwa science.

In God point of view hana muujiza Kwa sababu kwake yeye kila jambo kina maelezo, mfano hapo zaman watu walikua wanaamin binadamu anaweza paa, lakin ilichukua miaka mingi sana mpaka ndege ikaja kutengenezwa (akili ikaja kuelewa)

Na hata sahiv wako watu wanaoona kupaa Kwa ndege, kuongea Kwa simu, na kutumia fax ni muujiza, lakin wako watakao kuelezea jinsi gan hivyo vitu vinafanyika.

Ndo maana watu wote wabunifu kabla hawajagundua kitu chochote wanakua na imagination flani hivi ndan yao, baada ya hapo wanatumia akili kuitengenezea formula ili kieleweke na watu wengine.

Na kinachowafanya watu wa dini wadharauliwe ni Kwa sababu wao wanaishia hatua ya kwanza ambao ni muujiza, hawaend hatua ya pili ya kuingiza akili kazin ili watengeneze formula ili iwe rahis Kwa watu wengine kuelewa.

Kuna watu wanaombea watu wanapona, nataka nikuhakikishie kwamba kuna formula nyuma yake inayoelezea ilo tukio lilivyotokea.

Na ndo maana Mungu alimpa mwanadamu akili, lakin jambo LA ajabu watu hawatumii hata asilimia kumi ya akili walizonazo, ndo maana mambo mengi yamekaa kimiujiza, lakin watu wangekua na uwezo wa kutumia akili angalau asilimia 90 kusingekua na kitu kinachoitwa miujiza.

Ndo maana ni Hatar sana Kwa viongoz wa dini kulazimisha watu kuishi Kwa muujiza, Kwa sababu Kwa kufanya hivyo kunaua ubunifu na uvumbuzi, na ndo kutokuelewana Kwa watu wa Dini na wanascience kunapokuja

Yale tunayoelewa kuhusu sheria za asili yanategemea mambo ambayo wanasanyansi wamevumbua kutokana na mambo yanayotuzunguka. Lakini, sheria hizo zinafanana na sheria za luga fulani—kuna maneno fulani yasiyoheshimu sheria za lugha. Uelewaji wetu wa “sheria” hizo za asili unaweza kuwa na mipaka. Mwanasayansi mwenye bidii anaweza kupitisha maisha yake yote akijifunza sheria fulani ya asili. Lakini anapoona tu kitu kimoja kisichofuata sheria hiyo, mara moja anabadilisha maoni yake kuhusu sheria hiyo. Kwa hiyo, kutokujua jambo fulani hakumaanishi kwamba jambo hilo si la kweli.

Kuna mambo fulani yanayofanyika leo ambayo yalionekana kuwa hayawezekani miaka fulani iliyopita:

● Ndege inaweza kubeba watu zaidi ya 600 na kusafiri bila kutua kutoka mji wa New York mpaka Singapore, kwa mwendo wa kilometre 900 kwa saa.

● Kupitia video, watu kutoka sehemu mbalimbali za dunia wanaweza kufanya mikutano yao wakiwa wenye kuonana uso kwa uso.

● Maelfu ya nyimbo zinaweza kuhifadhiwa kwenye kitu kidogo sana ambacho hakifikii hata ukubwa wa kiberiti.

Hivyo, ikiwa watu wanaweza kufanya mambo ya ajabu ambayo hayakuwezekana katika miaka fulani iliyopita, basi kwa kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyo ndani anaweza kufanya mambo ya ajabu sana ambayo hatuwezi kuelewa vizuri leo wala kufanya kama yeye.

Kwa upande mwingine kuna nguvu ambazo ni kinyume cha nguvu za Mungu - kama mwanga na giza - zinatumiwa hata katika dunia ya sasa. Kuna nguvu za kichawi au kiganga ambazo huwa zinatumika katika jamii ili kufanikisha mambo. Nguvu hizi ni uthibitisho wa miujiza ambayo ipo upande wa pili, ambao ni giza. Upande huu umeamua kutumia nguvu hizi bila woga - dhahiri. Nguvu hizi ni sehemu ndogo ya miujiza ambayo ilitoka kwenye chanzo kikubwa - Mungu mkuu. Miujiza hii ipo ingawa chanzo chake ni Mungu mkuu ila zinaweza kumaanisha kitu ambacho si kamili au kilicho na kasoro machoni pa Mungu. Miujiza ya namna hii imepewa namba 6, na miujiza ya kiungu imepewa namba 7 ikimaanisha kukamilika.

Nguvu za kichawi na kiganga ni miujiza pia inayopewa nguvu na nguvu hasi zilizopo duniani, ambapo awali hazikuwapo. Miujiza hii ya giza inaashiria kuwa na nguvu (miujiza) za upande wa pili toka kwa Mungu zikikinzana nazo.

According to "Merriam Webster Dictionary, 2018." miracle is

1 : an extraordinary event manifesting divine intervention in human affairs
2 : an extremely outstanding or unusual event, thing, or accomplishment
3 Christian Science : a divinely natural phenomenon experienced humanly as the fulfillment of spiritual law.

Hata hivyo uwezekano ni kwamba ili uamini haya inatakiwa uamini na uwepo wa Mungu. Kwa kuwa neno miujiza lenyewe linahusiana na imani. Kama hauna imani basi ina maana unakuwa "Tomaso" . Kwa kuwa "Seeing is believing." jaribu kufuata chanzo chochote cha miujiza kama uganga au uchawi labda utaamini kuna miujiza.
Hakika huko utaipata ingawa ina gharimu.
 
hata hichi ulichokiandika ni miujiza ya MUNGU.....
labda nikuulize kitu.
unapotaka kuandika kitu..ni mkono unaoandika au macho yanayoangalia ndo yanaandika au akili ndo inaandika?
 
Unaposema miujiza ya mungu ni nini hiyo?
Miujiza ni nini?
Akili ni nini?

Wewe kwa ufahamu wako unajua nini huwa kinaandika?
hata hichi ulichokiandika ni miujiza ya MUNGU.....
labda nikuulize kitu.
unapotaka kuandika kitu..ni mkono unaoandika au macho yanayoangalia ndo yanaandika au akili ndo inaandika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom