Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Zanzibar ipo mbali sana na Tanganyika ukilinganisha na nchi nyingine kama Kenya, Uganda nk. Hivi ni kwa nini Nyerere aliamua kuiunganisha Znzb na Tangnyk na sio hizo nyingine? Zanzb na nchi ya kiislamu (kwa ambao hawajui) wkt Tangnyk ni nchi isiyo na dini. Nyerere hakuliona hilo?