Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wanabodi,naenda moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu!
Baina yetu, ni kawaida sana kumuagiza mwanamke /mwanaume kutoka mtaa au mkoa mwingine kwa ajili ya kuspend /kutembea nae huku moyoni ukijua kabisa kwamba huwezi kuishi nae, yaani ni wa muda tu au 'short time kama ambavyo tumezoea kusema. Wakati huo ukijua fika kabisa kwamba una mtoto /watoto/ familia au ndugu ambao wangeweza kufaidika na hela hiyo unayofuja kwa huo "upuuzi/umalaya" wako unaoufanya.
Wanaume ndo wamekuwa vinara wa kuagiza wanawake /wake za watu yaani kwa jina lingine wanaume ni "waagizaji" na wanawake ndo "waagizwaji". Unakuta mmoja au wote wawili wana familia na ndoa zao halali kabisa mbele za MUNGU na Serikali. Hii ni laana.
Kuna risks au athari/risks nyingi sana zinazohusiana na kuchepuka au kuwa na mchepuko hasa kuagizana Wilaya kwa Wilaya, Mkoa kwa Mkoa na hata tu Mtaa kwa Mtaa. Boda boda umekuwa usafiri muhimu sana unaotumiwa na wachepukaji wa Mtaa kwa Mtaa kwa sababu bodaboda ni rahisi kupenya uchochoroni na pia ni rahisi kumkimbia anayekufukuza kwa gari au miguu. Vijana wa boda boda wako connected sana na hizi mambo. Hii ni laana.
Kupata ajali njiani ukiufuata mchepuko wako, kufariki guest , kuuawa kwa fumanizi, kuambukizwa magonjwa au gonjwa la zinaa, kupoteza fedha kipuuzi na laani ni baadhi ya risks ambazo huwakumba wachepukaji. Huwezi kukoswakoswa kwenye hizo. Hii ni laana.
Mke wa mtu ndani ya familia anamuaga mume wake kwamba anaenda kumsalimia shoga yake mtaani wa pili, kumbe anaenda "kudinywa" na kijana wa mtaani ambaye yupoyupo tu Au anaenda kugongwa na mwanaume ambaye anajua au hajui kwamba ni mume wa mtu. Na wakati huo huo akijua kabisa kwamba anaenda kwa "short time" tu, yaani kufanya sex na kurudi nyumbani kwa mume wake. Wakati mume wake yupo na "dude" analo. Hii ni laana.
Mwanaume unamdanganya mtoto wa watu au mke wa my kuwa hujaoa, baadae umamtumia nauli anatoka Dsm anakufuata Arusha mnakula bata na kupoteza fedha nyingi huku mke wako na watoto wakijua baba amesafiri kikazi. Hii ni laana.
Kwanini uwe na mchepuko? Mkeo / mumeo hakutoshi?
Kwann umapoteza fedha nyingi kwakuwa na mchepuko?
Kwanini unajiweka kwenye risk nyingi kwa kuwa na mchepuko?
MUNGU atuepushe na tabia hii ya kipumbavu katika maisha.
Baina yetu, ni kawaida sana kumuagiza mwanamke /mwanaume kutoka mtaa au mkoa mwingine kwa ajili ya kuspend /kutembea nae huku moyoni ukijua kabisa kwamba huwezi kuishi nae, yaani ni wa muda tu au 'short time kama ambavyo tumezoea kusema. Wakati huo ukijua fika kabisa kwamba una mtoto /watoto/ familia au ndugu ambao wangeweza kufaidika na hela hiyo unayofuja kwa huo "upuuzi/umalaya" wako unaoufanya.
Wanaume ndo wamekuwa vinara wa kuagiza wanawake /wake za watu yaani kwa jina lingine wanaume ni "waagizaji" na wanawake ndo "waagizwaji". Unakuta mmoja au wote wawili wana familia na ndoa zao halali kabisa mbele za MUNGU na Serikali. Hii ni laana.
Kuna risks au athari/risks nyingi sana zinazohusiana na kuchepuka au kuwa na mchepuko hasa kuagizana Wilaya kwa Wilaya, Mkoa kwa Mkoa na hata tu Mtaa kwa Mtaa. Boda boda umekuwa usafiri muhimu sana unaotumiwa na wachepukaji wa Mtaa kwa Mtaa kwa sababu bodaboda ni rahisi kupenya uchochoroni na pia ni rahisi kumkimbia anayekufukuza kwa gari au miguu. Vijana wa boda boda wako connected sana na hizi mambo. Hii ni laana.
Kupata ajali njiani ukiufuata mchepuko wako, kufariki guest , kuuawa kwa fumanizi, kuambukizwa magonjwa au gonjwa la zinaa, kupoteza fedha kipuuzi na laani ni baadhi ya risks ambazo huwakumba wachepukaji. Huwezi kukoswakoswa kwenye hizo. Hii ni laana.
Mke wa mtu ndani ya familia anamuaga mume wake kwamba anaenda kumsalimia shoga yake mtaani wa pili, kumbe anaenda "kudinywa" na kijana wa mtaani ambaye yupoyupo tu Au anaenda kugongwa na mwanaume ambaye anajua au hajui kwamba ni mume wa mtu. Na wakati huo huo akijua kabisa kwamba anaenda kwa "short time" tu, yaani kufanya sex na kurudi nyumbani kwa mume wake. Wakati mume wake yupo na "dude" analo. Hii ni laana.
Mwanaume unamdanganya mtoto wa watu au mke wa my kuwa hujaoa, baadae umamtumia nauli anatoka Dsm anakufuata Arusha mnakula bata na kupoteza fedha nyingi huku mke wako na watoto wakijua baba amesafiri kikazi. Hii ni laana.
Kwanini uwe na mchepuko? Mkeo / mumeo hakutoshi?
Kwann umapoteza fedha nyingi kwakuwa na mchepuko?
Kwanini unajiweka kwenye risk nyingi kwa kuwa na mchepuko?
MUNGU atuepushe na tabia hii ya kipumbavu katika maisha.