Mungu atawabariki wapendwa mkinisaidia ombi langu

Status
Not open for further replies.

Airmanula

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
3,761
5,245
Ni kijana wa miaka 28 elimu yangu ya stashahada na uzoefu wa miaka 2 kufanya kazi katika mazingira mbalimbali ya kiofisi na nje ya ofisi, naishi mkoa wa arusha.. wakuu naomba Mungu awaguse mnisaidie kazi yoyote halali, maisha yangu magumu mno naombeni msaada wenu, imefikia mahali akili kama imegota kuwaza a way out, wazazi wangu hawana uwezo mkubwa, kwakweli Mungu huyu awaguse munisaidie, yeyote yule atakayeguswa Ahsanteni Mungu awabariki sana.

N.B
Kejeli sitopenda wapendwa na pia nipo tayari kwenda mkoa wowote kufanya kazi.

latest.jpg
 
View 80 reply 2 mm wa tatu pole mkuu kwa umri huo ni ngumu hata kuingia mgahawani kuomba kazi, ni ngumu kuchukua tololi kuuza nyanya .kalot.vitunguu. uingie navyo mtaani ni ngumu kufanya kazi za vibarua ,ni ngumu kutumia nguvu kama mtaji
Brother mm sina ushauli kwa kweli nakuombea kwa Mungu tu mm hizo za juu ndo nafanya kupambana na hali yangu
 
hapa ndo unajua maisha yalivyo sio wapumbavu fulan kumsifia bwana yule wakati kazi vijana hawapati

kama viwanda vimeshaanzishwa 300 kwa nini vijana hawaajiriwi?

watanzania ondoeni upumbavu wa kusifia mambo yasiyo na tija wakati vijana wetu hawana kazi hadi zoezi la vijana kujiunga jkt nalo limeshakua la kisiasa tufike mahala tukatae kusifia upuuzi lakini panapofanywa mazuri tusifie
 
View 80 reply 2 mm wa tatu pole mkuu kwa umri huo ni ngumu hata kuingia mgahawani kuomba kazi, ni ngumu kuchukua tololi kuuza nyanya .kalot.vitunguu. uingie navyo mtaani ni ngumu kufanya kazi za vibarua ,ni ngumu kutumia nguvu kama mtaji
Brother mm sina ushauli kwa kweli nakuombea kwa Mungu tu mm hizo za juu ndo nafanya kupambana na hali yangu
Nashukuru ndugu yangu, nitapiga kazi tu Mungu atanisaidia
 
hapa ndo unajua maisha yalivyo sio wapumbavu fulan kumsifia bwana yule wakati kazi vijana hawapati

kama viwanda vimeshaanzishwa 300 kwa nini vijana hawaajiriwi?

watanzania ondoeni upumbavu wa kusifia mambo yasiyo na tija wakati vijana wetu hawana kazi hadi zoezi la vijana kujiunga jkt nalo limeshakua la kisiasa tufike mahala tukatae kusifia upuuzi lakini panapofanywa mazuri tusifie

Sasa hapa ndio umemsaidia vipi jamaa kupata kazi?
 
Ndugu zangu nimesomea diploma ya business administration

Mzee funguka umewahi kufanya kazi gani, unamudu kazi gani au ungependa kufanya kazi gani na maeneo gani?? . Mbona umekosa ushawishi bro?? Kazi ni tatizo kila mahali kuna ndugu zetu wa damu kbs wanahangaika kama wewe sasa unapoamua kutaka msaada basi jipambanue zaidi huwezi jua mtu anaweza kukufikiria kukupa msaada wewe!!..

.N.B kulikua na haja gani ya ku attach hako kadude ka "HELP ME NOW"?? ni mzaha au kitu gani?
 
Ni kijana wa miaka 28 elimu yangu ya stashahada na uzoefu wa miaka 2 kufanya kazi katika mazingira mbalimbali ya kiofisi na nje ya ofisi, naishi mkoa wa arusha.. wakuu naomba Mungu awaguse mnisaidie kazi yoyote halali, maisha yangu magumu mno naombeni msaada wenu, imefikia mahali akili kama imegota kuwaza a way out, wazazi wangu hawana uwezo mkubwa, kwakweli Mungu huyu awaguse munisaidie, yeyote yule atakayeguswa Ahsanteni Mungu awabariki sana.

N.B
Kejeli sitopenda wapendwa na pia nipo tayari kwenda mkoa wowote kufanya kazi.

View attachment 638227
Fuga hata kuku wa kienyeji. graduate huwezi kosa electronic device yenye pungufu ya thamani ya laki mbili. uza anzisha mradi wa kuku wa kienyeji uwe serious. ukiifanya hii biashara kwa kumanisha huna haja ya kuajiliwa.

usidhani kwenye ajira kuna muujiza wa mafanikio. umakini na kumaanisha katika malengo timilifu ndipo kuna mafanikio ya haraka. sio kuwa nakukashifu bali nakupa mkakati wenye mtaji kidogo.
 
Fuga hata kuku wa kienyeji. graduate huwezi kosa electronic device yenye pungufu ya thamani ya laki mbili. uza anzisha mradi wa kuku wa kienyeji uwe serious. ukiifanya hii biashara kwa kumanisha huna haja ya kuajiliwa.

usidhani kwenye ajira kuna muujiza wa mafanikio. umakini na kumaanisha katika malengo timilifu ndipo kuna mafanikio ya haraka. sio kuwa nakukashifu bali nakupa mkakati wenye mtaji kidogo.
Nashukuru ndugu
 
Ni kijana wa miaka 28 elimu yangu ya stashahada na uzoefu wa miaka 2 kufanya kazi katika mazingira mbalimbali ya kiofisi na nje ya ofisi, naishi mkoa wa arusha.. wakuu naomba Mungu awaguse mnisaidie kazi yoyote halali, maisha yangu magumu mno naombeni msaada wenu, imefikia mahali akili kama imegota kuwaza a way out, wazazi wangu hawana uwezo mkubwa, kwakweli Mungu huyu awaguse munisaidie, yeyote yule atakayeguswa Ahsanteni Mungu awabariki sana.

N.B
Kejeli sitopenda wapendwa na pia nipo tayari kwenda mkoa wowote kufanya kazi.

View attachment 638227

Miaka 28 .

Njoo tulime shambani achana na mambo ya kuajiriwa, ajira zilikua awamu ya nne huko
 
Ni kijana wa miaka 28 elimu yangu ya stashahada na uzoefu wa miaka 2 kufanya kazi katika mazingira mbalimbali ya kiofisi na nje ya ofisi, naishi mkoa wa arusha.. wakuu naomba Mungu awaguse mnisaidie kazi yoyote halali, maisha yangu magumu mno naombeni msaada wenu, imefikia mahali akili kama imegota kuwaza a way out, wazazi wangu hawana uwezo mkubwa, kwakweli Mungu huyu awaguse munisaidie, yeyote yule atakayeguswa Ahsanteni Mungu awabariki sana.

N.B
Kejeli sitopenda wapendwa na pia nipo tayari kwenda mkoa wowote kufanya kazi.

View attachment 638227
Nimefanya kazi kwa miaka 2 katika sekta mbalimbali japo ilikua kwa muda mfupi mfupi lakini nashukuru Mungu nilipata ujuzi wa kutosha na kujifunza mengi.

Sekta hizi tatu zilikua za KISERIKALI( data entry officer,office administrator, secretary, ) na moja ilikuwa ya BENKI(customer care), na kwa nyakati zote nimekua mfanyakazi bora kwa upande wa nidhamu kazini na kujituma. Namudu kazi yoyote ya halali based on my area of profession na sichagui mkoa gani.

Kwa upande wangu mimi ni mtu mdadisi ninayependa kujikita kila wakati na kazi zangu, ni mrahisi wa kujifunza mambo mapya na nina uwezo mkubwa wa kuoana na mazingira mapya pamoja na aina mbalimbali za watu ndani na nje ya nchi

Nina uwezo wa kutumia pia machines mbalimbali nyingi za kiofisi haswa kompyuta(ninacho cheti cha kompyuta).

Ninayo akili pia ya kujiajiri ama biashara, ila kusema la ukweli mtaji ni kama.kidonda kwangu, pia nlipatwa na maswahibu ya kuvamiwa na kuibiwa na vilivyoibwa ni savings zangu zaidi ya laki 5 ndio nlikua najiandaa kwenda kuanza nayo biashara nliyokua nimeiplan lakini ndio hivo mitihani ya dunia imenirudisha nyuma sana, i am in hard time hii ni psychological torture kwangu.
 
Fuga hata kuku wa kienyeji. graduate huwezi kosa electronic device yenye pungufu ya thamani ya laki mbili. uza anzisha mradi wa kuku wa kienyeji uwe serious. ukiifanya hii biashara kwa kumanisha huna haja ya kuajiliwa.

usidhani kwenye ajira kuna muujiza wa mafanikio. umakini na kumaanisha katika malengo timilifu ndipo kuna mafanikio ya haraka. sio kuwa nakukashifu bali nakupa mkakati wenye mtaji kidogo.
Naimani pakianzia ndo hana kama sijakosea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom