Inafikirisha lakini Mungu ni mwenye haki, upendo na mwingi wa msamaha. Kikubwa ni kufanya toba ya kweli.Adhabu kwa watoto na kwa wajukuu kwa dhambi za mtu mwingine kweli hii imekaaje? Chief
Inafikirisha lakini Mungu ni mwenye haki, upendo na mwingi wa msamaha. Kikubwa ni kufanya toba ya kweli.
Watu wengi sana wanateseka na mambo ambayo hawakuwahi kuyafanya. Tunalipa madeni ambayo hata hatukuwai kukopa. Chanzo ni waliyoyafanya waliotutangulia.
Chaajabu Mungu; anasema kuwa sitakosa kuwaadhibu yaani anasisitizia kuwa lazima atawachapa tu kivyovyote vilee lazima zigo la misumali liangukie migongoni kwa watoto na wajukuu ambao wazazi wao wamemkoseaInafikirisha lakini Mungu ni mwenye haki, upendo na mwingi wa msamaha. Kikubwa ni kufanya toba ya kweli.
Watu wengi sana wanateseka na mambo ambayo hawakuwahi kuyafanya. Tunalipa madeni ambayo hata hatukuwai kukopa. Chanzo ni waliyoyafanya waliotutangulia.
Hakuna namna mkuu ni kufanya toba, yalifanyika mengi ambayo hatuyajui na tukiuliza hakuna wa kutujulisha.Kabsa kabsa; tunalipa madeni ambayo hatujawahi hata kuyakopa: inaumiza
Licha ya hivyo bado Mungu wetu ni mwingi wa rehema na msamaha.Chaajabu Mungu; anasema kuwa sitakosa kuwaadhibu yaani anasisitizia kuwa lazima atawachapa tu kivyovyote vilee lazima zigo la misumali liangukie migongoni kwa watoto na wajukuu ambao wazazi wao wamewakosea
View attachment 2503109Naam sema Mungu angeilegeza legeza kidogo maana kaiweka imekuwa na latio kali sana kizazi cha tatu mpaka cha nne!! Sio mchezo
😔 yeye pekee ndie ajua sababu ya hayo yote. Inaumiza sana lakini maisha ni fumboKuna katoto kalemavu kana nifikirisha sanaa kana mwaka wa tano sasa kanaenda wa sita kapo tu kitandani huwa kanalishwa kanaogeshwa kanarudiswa kitandani hakaoni japo kuwa kana macho mazuri ni kitoto cha kulala tu hakaongei daaah najiuliza pengine ndio inaweza ikawa laana yenyewe hiyo Mungu aliyompa kutokana na dhambi za wazazi wake!! Sasa najiuliza chenyewe katoto kanajiteteaje? Sasa wakati tangu katoto hakaoni wala hakatembei ni kuumwa tu tangia kazaliwe daaah
Kuna katoto kalemavu kana nifikirisha sanaa kana mwaka wa tano sasa kanaenda wa sita kapo tu kitandani huwa kanalishwa kanaogeshwa kanarudiswa kitandani hakaoni japo kuwa kana macho mazuri ni kitoto cha kulala tu hakaongei daaah najiuliza pengine ndio inaweza ikawa laana yenyewe hiyo Mungu aliyompa kutokana na dhambi za wazazi wake!! Sasa najiuliza chenyewe katoto kanajiteteaje? Sasa wakati tangu katoto hakaoni wala hakatembei ni kuumwa tu tangia kazaliwe daaah[/
@half american Kwa huyu anaomba msamaha vipi? Au anajisaidia vipi? Na unakuta na mzazi wake alipomzaa tu alifariki
Na tujitahidi kuepuka uovu kwakuwa tumeshatambua dhahiri utaathiri na kuvigarimu vizazi vyetu.Fumbo kubwa sana