Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,407
- 13,791
Acha kabisa ile almasi... Nimetunukiwa kama zali (sio bibi tukinao)
Acha kabisa ile almasi... Nimetunukiwa kama zali (sio bibi tukinao)
Demis on fleek
Wewe Mungu anakuona..khaaTeknolojia siku izi imeturahisishia sana mambo yani.
Aise ukapate sawasawa na mahitaji yako na mrejesho utuletee.
Nakuombea tu awe Timamu kiakili ,na mzima kiafya ,nikisema mzm awe mzm kwelikweli siku izi maozo nimengi mno.
Nmefanyaje sasa sweetieWewe Mungu anakuona..khaa
Ko ko kooooooKuna dada alikua anahitaji mume humu..mtafutane myajenge..mimi kadi ya mualiko itanitosha
Kulikoni Baba nahizo ko ko ko..Ko ko koooooo
Huo mstari wa mwisho huoNmefanyaje sasa sweetie
Nmecheka tu mamaKulikoni Baba nahizo ko ko ko..
Huhuhu sawa banaNmecheka tu mama
NamimiNmecheka tu mama
.ukihesabu emoji utanielewa.Namimi
Yale yaleeeee...!!!! mlokoleUje nyumbani kabla ya kukwichi
Mimi nilijipatia Mke humu tena ni material since 2014 now tuna kid of 3 year.Wa humu ndo haohao tunapishananao kitaa.
Usizibe rizki bhana
Mimi tayari sema namsaidia mtoa uzi tuMimi nilijipatia Mke humu tena ni material since 2014 now tuna kid of 3 year.Wa humu ndo haohao tunapishananao kitaa
Tofauti ni area if incidence tu !!! Tia bidii utampata!
Aluta continua!!!!!
Dooh. Niliona ule uzi ila sijui ilikua mawenge hata sikujua kama kampatia humu huyo wife to be wakemkuu wapo humu watu wanatoka Kimya Kimya ...sio wote ambao wamefikia hatua ya ndoa ... but juzi kati kuna Dogo alileta Uzi wake humu akilalamika kuwa demu wake anamsumbua na huyo demu alikutana nae jf ..na walikuwa ktika process za ndoa
Nimechezewa sana sitaki kuchezewa tenaYale yaleeeee...!!!! mlokole
BTW Tanga sehemu ipi ?Nimechezewa sana sitaki kuchezewa tena