riro23 JF-Expert Member Sep 16, 2013 788 771 Nov 28, 2013 #1 Ndugu wanajf kama mungu angeamua kuwanyang'anya watu wote mwenye mali ambazo wamezipata kwa njia haramu/isiyo ya haki, wengi wangekimbia mji kwa aibu
Ndugu wanajf kama mungu angeamua kuwanyang'anya watu wote mwenye mali ambazo wamezipata kwa njia haramu/isiyo ya haki, wengi wangekimbia mji kwa aibu
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,488 86,003 Nov 28, 2013 #2 Hahahaaaaa unafikiri angebaki nani? Ajira serikalini zingekuwa za kumwaga
M mahakama ya kazi JF-Expert Member Feb 20, 2013 1,520 240 Nov 28, 2013 #3 aaahaaaa hiyo ingekuwa kali sanaaaa