Atawaadhibu wote wawili vikali. Unajua kucheza mpira ni dhambi?
Wengi yawezekana hamjui, lakini acha niwakumbushe kuwa kumpiga mwenzio chenga lazima umdanganye kwamba unaenda huku, lkn badala yake unaenda the other side. UONGO unavunja amri ya ngapi, kila mtu anajua
Nikikumbuka au nikiupata nitakuwekea ipo mistari mingi inayosema hivyo. Ila kama sijakosea ukisoma kwenye Isaya, Yeremia na Zaburi unaweza ukaipata. Unaweza kusoma pia Zaburi ya 34 kama inaweza kuwepo sina Biblia karibu yangu kwa ajili ya kufanya rejea ya uhakika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.