Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Tangia Cyril chami awe Mbunge wa Moshi vijijini kwa makusudi ameamua kuligawa jimbo hilo na kushughulika na sehemu ya Milimani ya jimbo hilo na kusahau kabisa ukanda wa chini ikiwamo kata ya mabogini na zile zote zilizo kwenye ukanda wa tambarare.
Ukanda huu unakabiliwa na tatizo kubwa la ubovu wa barabara, maji, na huduma za afya. Chami amewahi kukaririwa akisema hahitaji ukanda huu kwani hana wapiga kura.
Watu hawa wamekuwa wakimwombea ampoteze uwaziri ambao ulikuwa ukimpa kiburi na dharau.
Kwa muda huu anaweza kukumbuka shuka.
Ukanda huu unakabiliwa na tatizo kubwa la ubovu wa barabara, maji, na huduma za afya. Chami amewahi kukaririwa akisema hahitaji ukanda huu kwani hana wapiga kura.
Watu hawa wamekuwa wakimwombea ampoteze uwaziri ambao ulikuwa ukimpa kiburi na dharau.
Kwa muda huu anaweza kukumbuka shuka.