ibramy
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 642
- 959
Na izi ni roho za kiafrica... Tuna roho mbaya kinoma!!!! Na wakati huo huo ukute na ngoma za jamaa alikuwa anasikilizaKuna watu roho mbaya Sana wakipata madaraka wanajiona Miungu kumbe haya maisha tunayo kwa muda tu then yanapita ila kwakweli Oliver alipitia kipindi kigumu mno mtu kukosa haki yake kikatiba isitoshe matibabu yalikuwa ni kwa faranga yake it's too much terrible
Sent using Jamii Forums mobile app