Mungu alitunyima nini wa tz!

utiyansanga

JF-Expert Member
May 19, 2010
213
7
Mojawapo ya nchi ambazo utamaduni wa kisiasa ni wa ajabu ni hii ya kwetu!Tunawashangilia wanasiasa bila hata kujiuliza maswali1
  1. tULIOREDHESHEWA orodha ya mafisadi akiwemo Mkuu wa KAYA lakini tulinyamaza.
  2. Rais akatuambiwa anawajua wala rushwa ila anawapa muda wajirekebisha ,mpaka leo hatujamuhoji kwa dhati kama hao watu wamejirekebisha au la utafikiri huo ufisadi waliokuwa /wanamfanyia mtu mmoja.!
  3. Tukaambiwa kuna mwenzetu an vjisenti nje ya nchi bila maelezo ya kutosheleza.....kimya1
  4. Likajitokeza kundi liKasema linapambana na ufisadi tukalishangilia kwa dhati leo hii ukiuliza hawa walipagInaje hiyo vita hakuna anayeweza kusema!na matokeo ya hiyo vita ninini....Lbda kuanzishwa kwa VICOBA!
  5. waLIOKWAPUA BENKI KUU,wengine bado kujikana licha ya kuwa walisajili makampuni hayo hapa nchin na malipo yakafanywa na benki zetu!
  6. Wapanaji wengine ndio hao tulioambiwa wameifilisi NICO hakuna aliyewahi kujibu
  7. ORODHA NI NDEFU ...Tunatakiwa kujiuliza watanzania hivi haya yote yanafanyika mbona hatuchukui hatua,MUNGU alitupa akili au matope!
 
Tukiambiwa shule za watoto wetu zitakuwa bure tunasema haiwezekani licha ya Uganda na Kenya kuwezekana.
 
Back
Top Bottom