LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 121
Sina maana yoyote juu ya kupotosha imani ya mtu.
Umegundua mwisho wa kutafakari bila majibu ni Mungu anafuata?
Ulistukaga anatajwa wakati unakwepa jukumu lako!?
Mfano:
Huna kazi. Wanatuambia tumwombe atupatie ajira.
Lakini ukweli ni mmoja tu.
“MUNGU HATUPI AJIRA.
ANATUPA FURSA.”
* fungua macho, fikiri kitajiri utaziona fursa.
Mungu hawezi kukuonesha njia wakati hauko tayari kuinua mguu.
Tuwe makini wakati wa kuomba. Wakati mwingine hatupewi kwasababu hatutoweza kumiliki.
MUNGU AKITUMIKA VIBAYA BASI UMASKINI UTAISHI DAIMA NASI.
Mungu alishamaliza.
Ni sisi kupambana.
prayers should never be an excuse FOR NOT moving into action.
Umegundua mwisho wa kutafakari bila majibu ni Mungu anafuata?
- Tumwachie Mungu
- Mungu atatenda
Ulistukaga anatajwa wakati unakwepa jukumu lako!?
Mfano:
Huna kazi. Wanatuambia tumwombe atupatie ajira.
Lakini ukweli ni mmoja tu.
“MUNGU HATUPI AJIRA.
ANATUPA FURSA.”
* fungua macho, fikiri kitajiri utaziona fursa.
Mungu hawezi kukuonesha njia wakati hauko tayari kuinua mguu.
Tuwe makini wakati wa kuomba. Wakati mwingine hatupewi kwasababu hatutoweza kumiliki.
- Unaomba pesa na hujui utatumiaje!
- Unaomba mafanikio na hujui utaftaji wake.
- Unaomba hekima na hujui thamani yake.
MUNGU AKITUMIKA VIBAYA BASI UMASKINI UTAISHI DAIMA NASI.
Mungu alishamaliza.
Ni sisi kupambana.
prayers should never be an excuse FOR NOT moving into action.