Wale Wa sodoma na Gomola aliamua kuwatupia moto baada ya kuona maovu yamezidi katika nchi ile, hali kadhalika gharika wakati wa Nuhu. sasa sisi Mungu kaamua kutuonjesha kidogo tu kwa kutupa mtihani Wa miaka kumi, amini nakuambia ukiweza kufaulu mtihani huu kwa miaka hii wewe utakuwa ama shujaa/mwoga. Nasema hivyo kutokana na sababu mbalimbali.
ngoja niendelee na mtihani nisije nakafeli maana mtihani wenyewe mgumu
ngoja niendelee na mtihani nisije nakafeli maana mtihani wenyewe mgumu