Mungu alimtumia Hayati Magufuli kulivusha taifa la Tanzania

Utauwezaje ugojwa ambao umekua wewe mwenyewe na katibu wako! Kama hujui nyamaza familia yangu tunamjua Magufuli kuanzia 1992! wengi wenu ni vimbelembele hata hamjui klichotokea. Lakini kikubwa wengi hata kumpenda Magufuli mlikuwa hamna upendo ni kupenda ushabiki tu! Sisi ambao tunamjua na kumjali tulimwambia ajikinge maana tunamjua na tunajua matatizo yake ya afya lakini wapambe wanaangalia ushabiki tu na ubishi usio na msingi mpaka tukampoteza hivyo msianze kusifia ujinga. Ukweli ni kwamba lockdown zilikuwa za muda.
Wapambe wameharibu mno hii nchi
 
Naunga mkono hoja!

Magufuli ni kama Musa wa Israel.
Ila nyie, ndo maana iliishia njian maan mlizid kufuru. Mwingine amfananishe na YESU mwingine amfananishe na MUNGU! Na MUNGU maan ni mwenye wivu akawachapa sawasawa.

IMG_20220113_105213.jpg
 
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingeelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?

Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?

Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Kama kweli hiyo miradi haina faida kama wapondaji wanavyosema mbona sasa tunaendelea kuijenga?

Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?

Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya CHADEMA wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?

Unajua bila Magufuli Tanzania ingetumia miaka mingapi kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati?

Hali ya makao makuu ya nchi yetu Dodoma ingekuwaje?

Wanafunzi wa UDSM wangeendelea kupanga mitaani kwa sababu hosteli za Magufuli zisingekuwepo?

Foleni ya ubungo mataa ingekuwaje maana tusingekuwa na flyover?

Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake
Tulipata raisi mpumbafu kama yule.
Kwakuwa katiba ya Tanzania ni mbaya ikambariki shetani magufuli
 
Wapumbavu hamchoki kuandika upumbavu wenu, Magufuli ndo chanzo cha madhira yanayoendelea Tanzania, yaani hadi Samia ana Roho mbaya na ni Dikteta kwa sababu ya ku copy kwa Magufuli.
Maisha ni magumu,hakuna ajira, Pesa haina Thamani na kuna mfumuko mkubwa mno wa Bei.
Sasa alilivusha Taifa wapi?
Hebu tutolee ushamba wako hapa.
Pumbavu zako jehu wewe
 
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingeelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?

Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?

Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Kama kweli hiyo miradi haina faida kama wapondaji wanavyosema mbona sasa tunaendelea kuijenga?

Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?

Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya CHADEMA wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?

Unajua bila Magufuli Tanzania ingetumia miaka mingapi kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati?

Hali ya makao makuu ya nchi yetu Dodoma ingekuwaje?

Wanafunzi wa UDSM wangeendelea kupanga mitaani kwa sababu hosteli za Magufuli zisingekuwepo?

Foleni ya ubungo mataa ingekuwaje maana tusingekuwa na flyover?

Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake

Yule aliletwa kulinyoosha Taifa.

Sasa hivi limerudi kwa wahuni, wapiga dili, wasio na uchungu na nchi, taifa, maskini, rasilimali zake.

Zahanati, hospitali, barabara, reli ya kati kwenda Moshi, Arusha, SGR , umeme kupunguza gharama alifanya hivyo.

Uzalendo, uwajibikaji, nidhamu,self confidence, kujiamini, anawaambia Watanzania sisi ni nchi tajiri, donor county. Watu wanacheka.

Watanzania wote wanajitambau sasa hivi, uwezo wao nguvu zao, kutokana na JPM kusema wazi vitu muhimu kwa maslahi ya Watanzania.
 
Yule aliletwa kulinyoosha Taifa.

Sasa hivi limerudi kwa wahuni, wapiga dili, wasio na uchungu na nchi, taifa, maskini, rasilimali zake.

Zahanati, hospitali, barabara, reli ya kati kwenda Moshi, Arusha, SGR , umeme kupunguza gharama alifanya hivyo.

Uzalendo, uwajibikaji, nidhamu,self confidence, kujiamini, anawaambia Watanzania sisi ni nchi tajiri, donor county. Watu wanacheka.

Watanzania wote wanajitambau sasa hivi, uwezo wao nguvu zao, kutokana na JPM kusema wazi vitu muhimu kwa maslahi ya Watanzania.
Nyumbu wanatuharibia mno taifa letu
 
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingeelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?

Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?

Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Kama kweli hiyo miradi haina faida kama wapondaji wanavyosema mbona sasa tunaendelea kuijenga?

Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?

Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya CHADEMA wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?

Unajua bila Magufuli Tanzania ingetumia miaka mingapi kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati?

Hali ya makao makuu ya nchi yetu Dodoma ingekuwaje?

Wanafunzi wa UDSM wangeendelea kupanga mitaani kwa sababu hosteli za Magufuli zisingekuwepo?

Foleni ya ubungo mataa ingekuwaje maana tusingekuwa na flyover?

Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake

Mimi nilikuwa mpinzani wa Magufuri Sana kutokana na jinsi alivyotuchukia sisi CHADEMA Hadi tukawa ukiwa na yatima maana Kila muhimili ulitugeuka. Na hata yeye Magufuri alimpa maelekezo Ndugai atupige ndani
ya bunge tukitokaa atatupiga nje ya bunge. So I had hate for Magufuri na hasa kifo Cha Saanane na kushambbuliwa kwa Lissu.

Lakini juzi wakati nimelala nikaota nipo kwenye uzinduzi was treni za Chini kwa Chini zile za umeme. Na wanachi walikuwa wengi Sana. Magufuri Kama Rais alikuwa mbele tayari kwa kuzindua treni Cha kushangaza akaniita Mimi Tena kwa upendo niende nikae nae tuzindue pamoja hiyo treni. Nikakubali. Tukakaa pamoja akawa ananiuliza maswali pale nikaingiwa na upendo kwake. Baaba ya hapo ndoto ikaisha. Hiyo ndoto imenikaa Sana na ikanibadilisha mtazamo wangu kuhusu Magufuri. Pamoja na mabaya yote yalifonyika dhidi ya CHADEMA, Kuna roho ya upendo na huruma zimeniingia kuhusu MAGUFURI. Ingawa kwa Hakika sijajua hiyo ndoto inamaanisha Nini.
 
Utauwezaje ugojwa ambao umekua wewe mwenyewe na katibu wako! Kama hujui nyamaza familia yangu tunamjua Magufuli kuanzia 1992! wengi wenu ni vimbelembele hata hamjui klichotokea. Lakini kikubwa wengi hata kumpenda Magufuli mlikuwa hamna upendo ni kupenda ushabiki tu! Sisi ambao tunamjua na kumjali tulimwambia ajikinge maana tunamjua na tunajua matatizo yake ya afya lakini wapambe wanaangalia ushabiki tu na ubishi usio na msingi mpaka tukampoteza hivyo msianze kusifia ujinga. Ukweli ni kwamba lockdown zilikuwa za muda.
Wewe ndo umeonesha wazi ukimbelembele wako kujifanya unamjua sana magu,sasa mbona watu hawachukui taadhari na huo ugonjwa na wanadunda tuu hawafi tena au unataka kusema wamechanjwa
 
Mimi nilikuwa mpinzani wa Magufuri Sana kutokana na jinsi alivyotuchukia sisi CHADEMA Hadi tukawa ukiwa na yatima maana Kila muhimili ulitugeuka. Na hata yeye Magufuri alimpa maelekezo Ndugai atupige ndani
ya bunge tukitokaa atatupiga nje ya bunge. So I had hate for Magufuri na hasa kifo Cha Saanane na kushambbuliwa kwa Lissu.

Lakini juzi wakati nimelala nikaota nipo kwenye uzinduzi was treni za Chini kwa Chini zile za umeme. Na wanachi walikuwa wengi Sana. Magufuri Kama Rais alikuwa mbele tayari kwa kuzindua treni Cha kushangaza akaniita Mimi Tena kwa upendo niende nikae nae tuzindue pamoja hiyo treni. Nikakubali. Tukakaa pamoja akawa ananiuliza maswali pale nikaingiwa na upendo kwake. Baaba ya hapo ndoto ikaisha. Hiyo ndoto imenikaa Sana na ikanibadilisha mtazamo wangu kuhusu Magufuri. Pamoja na mabaya yote yalifonyika dhidi ya CHADEMA, Kuna roho ya upendo na huruma zimeniingia kuhusu MAGUFURI. Ingawa kwa Hakika sijajua hiyo ndoto inamaanisha Nini.

Of course kuna vitu alikosea. Watu fulani hawakutendewa haki.

Dhamira yake, jinsi alivyoipenda Tanzania, nia yake ya dhati, kutaka sisi tujiamini, tujitambue,tusimame alikuwa Mzalendo wa ukweli.

Unajua vitu alivyovifanya ndani ya miaka mitano wengine ingechukua miaka 50.

Mfano Elimu bure itawasaidia watoto mamilioni kwa miaka mingi sana watoto wa maskini, watoto wetu wengi watapata elimu. Zahanaki kila kata, hospitali kila mkoa zitaokoa maisha ya wengi.

Maji, umeme, barabara, pembejeo, mbolea, kuthibiti mfumuko wa bei, maisha yawe nafuu kwa Watanzania wengi, vilikuwa vipaumbele vyake. Especially, sana sana wakati wa korona.


No lockdowns, kuwafungia watu, he did sensible stuffs, he did use common sense.
 
Mimi nilikuwa mpinzani wa Magufuri Sana kutokana na jinsi alivyotuchukia sisi CHADEMA Hadi tukawa ukiwa na yatima maana Kila muhimili ulitugeuka. Na hata yeye Magufuri alimpa maelekezo Ndugai atupige ndani
ya bunge tukitokaa atatupiga nje ya bunge. So I had hate for Magufuri na hasa kifo Cha Saanane na kushambbuliwa kwa Lissu.

Lakini juzi wakati nimelala nikaota nipo kwenye uzinduzi was treni za Chini kwa Chini zile za umeme. Na wanachi walikuwa wengi Sana. Magufuri Kama Rais alikuwa mbele tayari kwa kuzindua treni Cha kushangaza akaniita Mimi Tena kwa upendo niende nikae nae tuzindue pamoja hiyo treni. Nikakubali. Tukakaa pamoja akawa ananiuliza maswali pale nikaingiwa na upendo kwake. Baaba ya hapo ndoto ikaisha. Hiyo ndoto imenikaa Sana na ikanibadilisha mtazamo wangu kuhusu Magufuri. Pamoja na mabaya yote yalifonyika dhidi ya CHADEMA, Kuna roho ya upendo na huruma zimeniingia kuhusu MAGUFURI. Ingawa kwa Hakika sijajua hiyo ndoto inamaanisha Nini.
Kwa sababu mlikuwa mnatetea ujinga mara MIGA , mara lockdown ya corona
 
Magufuli angekuwepo au asingekuwepo, sisi bado tungeitwa sh!thole country. Uhuru tulio nao miaka 60 tumeshindwa kuutumia vizuri.
 
Huyo hakuwa na lolote alikuwa ni mnafiki mkubwa anaitaita jina la Mungu huku akiua watu wake, hovyo kabisa ninasikitika amekufa bila kutendewa haki lakini Mungu atatenda.

Hakuna Rais ambaye hajawahi kuua. Ukiwa Rais kuna vitu inabidi U - sign kuondoa maisha ya mtu kwa mustakabali wa Taifa. Ukweli mchungu
Labda tupe mfano Rais gani hajawahi kuua.
 
Back
Top Bottom