Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,363
- 2,372
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingeelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?
Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?
Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Kama kweli hiyo miradi haina faida kama wapondaji wanavyosema mbona sasa tunaendelea kuijenga?
Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?
Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya CHADEMA wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?
Unajua bila Magufuli Tanzania ingetumia miaka mingapi kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati?
Hali ya makao makuu ya nchi yetu Dodoma ingekuwaje?
Wanafunzi wa UDSM wangeendelea kupanga mitaani kwa sababu hosteli za Magufuli zisingekuwepo?
Foleni ya ubungo mataa ingekuwaje maana tusingekuwa na flyover?
Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake
Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?
Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Kama kweli hiyo miradi haina faida kama wapondaji wanavyosema mbona sasa tunaendelea kuijenga?
Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?
Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya CHADEMA wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?
Unajua bila Magufuli Tanzania ingetumia miaka mingapi kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati?
Hali ya makao makuu ya nchi yetu Dodoma ingekuwaje?
Wanafunzi wa UDSM wangeendelea kupanga mitaani kwa sababu hosteli za Magufuli zisingekuwepo?
Foleni ya ubungo mataa ingekuwaje maana tusingekuwa na flyover?
Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake