Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,835
- 16,696
Nimerudi kwa speed of light.. 3.0 x 10e8
EL ndio naona Mungu kamwangazia Nyota yake...!!!
Hata nani aje, hakuna tena wa kumzuia,
EL kama Yesu or Mtume SAW...!!
Mungu akisema ww ndie mteule wake, hakuna wa kuzuia, labda ushindane na Mungu sasa...!!
Asante Mungu, sifa na utukufu vyote virudi kwako...!!!
EL ndio naona Mungu kamwangazia Nyota yake...!!!
Hata nani aje, hakuna tena wa kumzuia,
EL kama Yesu or Mtume SAW...!!
Mungu akisema ww ndie mteule wake, hakuna wa kuzuia, labda ushindane na Mungu sasa...!!
Asante Mungu, sifa na utukufu vyote virudi kwako...!!!