Jamani nielekezeni zinakouzwa hizi kofia za pama. Unajua mwenzako akinyolewa we tia maji.... Au aliachiwa na Dito?!!! Mwakalebela naye atafute ya kwake mapema...
TAKUKURU should be disbanded ili Uchaguzi ufanyike kwa amani. Mimi sjaifanya uchunguzi wowote kuhusu Campaign Finance laws,kwa sababu sheria kama hizo hazinihusu mimi,kwa vile mimi sina hela nyingi. Lakini nadhani watu wanaongea kuhusu Campaign Finance reform wanapoona kwamba,from the way things are going,nwisho wake watakaoweza kugombea Uchaguzi ni Bill Gates tu na Warren Buffet.
Lakini kumpeleka mtu mahakani kwa vile ametoa rushwa ya sh. 10,000,this is ridiculuos. Niliponunua kadi ya Chama Cha Mapinduzi miezi michache iliyopita,nilitoa rushwa kama hiyo,I handed out sh.10,000 notes again and again. Kwa sababu unapovaa designer shoes,halafu unamuona mtu mwingine hana kanda mbili,you are compelled to do such things.
Here we go again!Mungai mkenya..nenda kagombee kericho au naivasha kwenu....wawatoe kafara na watanzania pia....
mix with yours:embarrassed1:
Lakini kumpeleka mtu mahakani kwa vile ametoa rushwa ya sh. 10,000,this is ridiculuos. Niliponunua kadi ya Chama Cha Mapinduzi miezi michache iliyopita,nilitoa rushwa kama hiyo,I handed out sh.10,000 notes again and again.
masikini mweeeeeeeeeeeee!
Mazoweya yana tabu! Mzee kama huyu hakusikia ushauri wa mzindakaya na mzee kimiti, ona sasa mambo yanaenda mrama. Anyway pole mzee mungai, mafinga umefanya makuu ila ulitakiwa uwape fursa na wengine wafanye kazi.
Mwaisa fredrick hivi vile viingilio vya shamba la bibi mlivyokuwa mkibania ndo umewapa wanyalu, ona na wewe mambo yamekuwa mambo. Ungeulizaga yalikuwaje kwa mwenzio kitine, walimlia pesa zake kisha wakamtosa, na wewe umeingia mtegoni, hela wamekula na kura wakakupa na kesi umeipata. Uuuuuuuuuuuuwi! Mwadada nongwa ndodi
hii ni janja ya sisiemu hakuna kitu kama wanaweza takakuru wampleke mama 6