The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Good start pccb. msiachie hapo.
PCCB wanachofanya ni sawasawa na anachofanya paka wako kwa huyo mtoto wa bata!
Good start pccb. msiachie hapo.
PCCB wanachofanya ni sawasawa na anachofanya paka wako kwa huyo mtoto wa bata!
Hivi TAKUKURU hawana kitu tunaita kwenye Audit "Materiality" Hivi kweli hivyo vipesa ambavyo hata laki moja havifiki vinajustfy kuitwa rushwa, kweli ni material kumerits kesi?. Hii sio ile takrima aliyoitetea kikwete, hivi kweli shs 10 za kitanzania zitafanya nini. Waliosoma Taxation wanajua ile principle ya cost effectiveness, kwamba gharama za kukusanya kodi lazima ziwe ndogo kuliko kodi inayokusanywa. Gharama za kuendesha kesi ya rushwa lazima ziwe ndogo kuliko madhara na faida itakayopatikana. Kwa kumshitaki Mungai serekali inafaidika na nini, afterall alishashindwa. Hiyo kesi ya laki moja itatumia resources kiasi gani za nchi hii. TAKUKURU, be serious na kesi kama hizo hazina manufaa kwa mtanzania. Na je mbona aliyepokea rushwa hajafikishwa mahakamani, nijuavyo mimi aliyetoa na aliyepokea rushwa wote wana makosa. Sijaona kama kina Kiyeyu sijui na Mdaligwa etc, waliopokea hiyo rushwa wakiunganishwa katika kosa, au walikuwa undercover agents"
Hii kesi haina merits na Mungai atashinda, nadhani ni kutapatapa kwa CCM ili kuwazuga wadanganyika, afterall Mungai alishaloose, what is he for anyways, kuloose is enough punishment. Wale waliokamatwa kwa rushwa na kushinda mbona hawajafikishwa mahakamani, hivi kweli TAKUKURU wako serious. To me Tanzania is a safer place without TAKUKURU.
Na je rushwa ni fedha (monetary) tu, hiyo sheria haibainishi rushwa nyingine kama ahadi hewa, ngono, ukabila etc. Muungwana alivyojaza washikaji wake kwenye serekali sio rushwa hiyo?-- ethics?
Mungai pole, umetumiwa kama chambo, fight to prove them wrong, TAKUKURU wanafunika uozo wa rushwa. Rushwa haichunguzwi kihivyo, eti elfu mbili, come on, now be serious. Mpiga kura akiomba shs 2000 za kununua kilo ya sukari kwa mgombea tayari ni rushwa hiyo ya kuweza kubadili matokeo?
Simtetei Mungai, but nashangaa kama kweli hizo takrima ndogo ndogo hizo zinamerits kuiingiza serekali kwenye gharama kubwa ya kuendesha kesi.
TAKUKURU should be disbanded ili Uchaguzi ufanyike kwa amani. Mimi sjaifanya uchunguzi wowote kuhusu Campaign Finance laws,kwa sababu sheria kama hizo hazinihusu mimi,kwa vile mimi sina hela nyingi. Lakini nadhani watu wanaongea kuhusu Campaign Finance reform wanapoona kwamba,from the way things are going,nwisho wake watakaoweza kugombea Uchaguzi ni Bill Gates tu na Warren Buffet.
Lakini kumpeleka mtu mahakani kwa vile ametoa rushwa ya sh. 10,000,this is ridiculuos. Niliponunua kadi ya Chama Cha Mapinduzi miezi michache iliyopita,nilitoa rushwa kama hiyo,I handed out sh.10,000 notes again and again. Kwa sababu unapovaa designer shoes,halafu unamuona mtu mwingine hana kanda mbili,you are compelled to do such things.
TAKUKURU should be disbanded ili Uchaguzi ufanyike kwa amani. Mimi sjaifanya uchunguzi wowote kuhusu Campaign Finance laws,kwa sababu sheria kama hizo hazinihusu mimi,kwa vile mimi sina hela nyingi. Lakini nadhani watu wanaongea kuhusu Campaign Finance reform wanapoona kwamba,from the way things are going,nwisho wake watakaoweza kugombea Uchaguzi ni Bill Gates tu na Warren Buffet.
Lakini kumpeleka mtu mahakani kwa vile ametoa rushwa ya sh. 10,000,this is ridiculuos. Niliponunua kadi ya Chama Cha Mapinduzi miezi michache iliyopita,nilitoa rushwa kama hiyo,I handed out sh.10,000 notes again and again. Kwa sababu unapovaa designer shoes,halafu unamuona mtu mwingine hana kanda mbili,you are compelled to do such things.
Pengine wao ndio waliotoa taarifa je. Utamshitaki vipi informer wako?Mungai na watuhumiwa hao wanadaiwa kutoa Sh 10,000 kwa Obadia Mtokoma ambaye ni Mwenyekiti wa CCM wa tawi la kijiji cha Vikula na Katibu wa Uchumi na Fedha wa tawi la CCM la kijiji cha Vikula, Konjeta Kiyeyeu ambaye pia alihongwa Sh 10,000.
Wengine kwa mujibu wa Mpeka na kiasi cha fedha walichopewa kwenye mabano, ni pamoja na Katibu wa CCM wa Kata ya Ihalimba, Aldo Lugusi (Sh 10,000), Mwenyekiti wa CCM wa Ihalimba, Ezekiel Mhewa (Sh 10,000) na Katibu wa Fedha na Uchumi wa CCM Ihalimba, Tulaigwa Kisinda (Sh 10,000).
Wengine ni Jiston Mhagama (Sh 10,000), Maria Kihongozi (Sh 20,000), Lurent Mdaligwa (Sh 5,000), Victory Kalinga (Sh 20,000), Francis Chonya (Sh 2,000) na Alfred Kisinga (Sh 2,000).
Waliohongwa wengine kwa mujibu wa mashitaka, ni Issac Tewele (Sh 2,000), Sosten Kigahe (Sh 10,000), Raphael Lutomo (Sh 10,000) na Andrew Mkiwa (Sh 20,000).
Sasa waliopokea rushwa mbona nao hawajashitakiwa kama sheria invyosema?
TAKUKURU should be disbanded ili Uchaguzi ufanyike kwa amani. Mimi sjaifanya uchunguzi wowote kuhusu Campaign Finance laws,kwa sababu sheria kama hizo hazinihusu mimi,kwa vile mimi sina hela nyingi. Lakini nadhani watu wanaongea kuhusu Campaign Finance reform wanapoona kwamba,from the way things are going,nwisho wake watakaoweza kugombea Uchaguzi ni Bill Gates tu na Warren Buffet.
Lakini kumpeleka mtu mahakani kwa vile ametoa rushwa ya sh. 10,000,this is ridiculuos. Niliponunua kadi ya Chama Cha Mapinduzi miezi michache iliyopita,nilitoa rushwa kama hiyo,I handed out sh.10,000 notes again and again. Kwa sababu unapovaa designer shoes,halafu unamuona mtu mwingine hana kanda mbili,you are compelled to do such things.
hahahaha hapa kipi ni ridiculous? wewe ulietoa sh. 10000 kununua kadi? ama pccb? kweli bado tunayosafari ndefu sana.....:becky:[ Lakini kumpeleka mtu mahakani kwa vile ametoa rushwa ya sh. 10,000,this is ridiculuos. Niliponunua kadi ya Chama Cha Mapinduzi miezi michache iliyopita,nilitoa rushwa kama hiyo,I handed out sh.10,000 notes again and again. Kwa sababu unapovaa designer shoes,halafu unamuona mtu mwingine hana kanda mbili,you are compelled to do such things.
Pengine wao ndio waliotoa taarifa je. Utamshitaki vipi informer wako?
hahahaha hapa kipi ni ridiculous? wewe ulietoa sh. 10000 kununua kadi? ama pccb? kweli bado tunayosafari ndefu sana.....:becky: