Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kwa wanawake...
Sio swali zuri, lakini inabidi sometimes uwe umeshaliwekea principle ili siku yakikukuta usiamue kutokana na hasira...
Hivi kama mmeo unayempenda sana, kwa bahati mbaya siku 'amepitiwa na shetani' akakumwa na kesi ya kulazimisha ngono au kufanya ngono na msichana ambaye 'hajafika' umri'... Na kwa bahati mbaya au nzuri wewe una nafasi ya ama kumsaidia au kummaliza katika kesi mahakamani...
Je, uta-act vipi? Upo radhi hata kutumia mbinu zisizo halali kumuokoa mumeo?
Utaacha haki ichukue mkondo wake?
Au utajitahidi kummaliza, ikiwezekana apotelee selo?
Sio swali zuri, lakini inabidi sometimes uwe umeshaliwekea principle ili siku yakikukuta usiamue kutokana na hasira...
Hivi kama mmeo unayempenda sana, kwa bahati mbaya siku 'amepitiwa na shetani' akakumwa na kesi ya kulazimisha ngono au kufanya ngono na msichana ambaye 'hajafika' umri'... Na kwa bahati mbaya au nzuri wewe una nafasi ya ama kumsaidia au kummaliza katika kesi mahakamani...
Je, uta-act vipi? Upo radhi hata kutumia mbinu zisizo halali kumuokoa mumeo?
Utaacha haki ichukue mkondo wake?
Au utajitahidi kummaliza, ikiwezekana apotelee selo?