Mume wangu simwelewi, hataki kabisa nishike simu yake

sherida

Senior Member
Feb 15, 2017
133
194
Naombeni ushauri,

Kuhusu hii hali mume wangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawezi maana kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mimi sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kama simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha ni nini.
 
na wewe weka password akiomba zako na wewe omba zake simple like that

do me i do you
 
Naombeni ushauri kuhus hii hali mumewangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawez maan kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mm sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kam simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha nini

Kwani Kisheria Dada yangu unatakiwa ushike sana Uume wake au Simu yake? Nyie Dada zetu hivi viherehere vyenu ndivyo vinawaponza hadi mnatufanya tuwachoke na tujisajili sana katika NJE CUP.
 
Kama mtu kakumbia hivyo wewe muache hivyo hivyo uishi kwa amani... Ukitafuta ya ziada utajutia nafsi yako...


Vitu vinavyoleta uhasama na kuharibu mahusiano mengi ni pesa na wanawake...

Ukitoa hivyo kingine ni simu a.k.a mawasiliano... Tumebaki wachache sana ambao hatuvichu simu zetu wala kuziwekea passwords... Coz sina cha kuficha...


Cc: mahondaw
 
Pole dada ukiona hivyo tambua hakuna cha ofisi ni michepuko tu nawe weka yako password utaona atakavyokuja juu ayafanyayo huko atajua nawe hivyo hivyo akiuliza mwambie kuna mambo ya kike hupaswi kujua
Acha kumdanganya mwenzio akose usingizi. Cm ya mume wake ina mambo ya ofc
 
Back
Top Bottom