Wanaume bana! Sometimes ni kero tupu
Mabigi!
Kweli ndoa ndoana. Kumbe hata wanaume wanasusaga eeh? Dark City njoo mara moja, its an emergency
Nimekaa naye kwa ujasiri nimemweleza yaliyo moyoni mwangu nimemwomba abaki na mali zote mi nichukue watoto anipe talaka nikaanze maisha mapya Kakataa
Siku hizi wanawake ni kero kuliko wanaume. Wengi wanaliwa na madereva wa bodaboda. Mie nina wasiwasi jamaa kasusa kwa sababu mke wake analiwa na vijamaa vya bodaboda
Anadai sababu kuu ni mimi kutowatii dada zake hivyo ameamua kuhama chumba ili na kukata huduma ya chakula cha usiku kwa miez 8 sasa kunikomoa...
Ni kweli kabisa kuwa mimi na dada zake tumeshindwa kuelewana kabisa kutokana na wao kutaka kunipangia masharti nyumbani kwangu jambo nililolipinga kwa nguvu zote.
...Mume wangu yeye sijui anawaogopa au anawaheshimu hvy kila kitu wanampangia.
Nisaidieni nifanyaje mana uzalendo unakaribia kunishinda na kucheat siwezi kabisa na wala sitakaa niweze...
Nimejaribu kumbembeleza kwa kila khali lakini kasusa, WHAT CAN I DO MY DEAR FRIENDS? Maana upweke umenichosha
lakini mbona wanawake wengi hawasemi wakiwa na nyege?Huyo anakupenda sema tu lina gubu sijui kisirani,sasa anataka nini,my dear pole nimechukia sana,jidai una mtu na wewe,ukiwezekana uwe unaongea na simu hata na mdogo wako wa kike kimahaba pale unapohisi anaweza akawa around anakusikia.Vinginevyo fanya kweli pata kijana na make sure CONDOM inahusika,kisa cha kuwa na stress za too much nyege na mume unae.Wanaume jamani na sisi hua tunateseka na nyege,why kutesa wake zenu!inahusu,mwanaume kususa ni aibu, mwanaume wa kweli anatatua matatizo ya familia yake na sio kususa!
wengine ata kama wanapewa na nje ni mtindo mmoja unasemaje?ataliwa kama wewe humpi haki yake,wewe upo na huumwi halafu unakatalia dude lako,ataenda ndio kwa mwanaume wa kweli anaetumia dume!!
lakini mbona wanawake wengi hawasemi wakiwa na nyege?
wengine ata kama wanapewa na nje ni mtindo mmoja unasemaje?
Huwa hawasusi ila wanabadilisha channel tu.
kwa iyo Boss akamteke nyarahebu mvamie uchi usiku huko anapolala uone...