Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,689
- 14,596
Samahani hapa najua wanawake wooooote huku mtanichukia lakini I don't care 💃
Kuna mtu hapa analalamika kuwa mume wake haweki picha yake profile picha kwenye WhatsApp au Facebook hata Instagram
Mimi: Kwani lazima uwekwe?!
MTU: Ndio ili Dunia ujue kuwa Nina mume anaenipenda
Mimi: kwahiyo asipoweka picha yako hakupendi?!
MTU: Upendo umepungua🙄
Mimi: kwakweli namsapoti asilimia 100 mumeo kutokuweka wewe wala watoto wenu kwenye profile picha, maana NI ushamba na ulimbukeni mkubwa
Cha mwisho Mapenzi ya kweli hayapimwi kwenye profile picha za social medias..
Ivi kwanini midada ya sikuhizi ina ulimbukeni, kutokujiamini?!
Zamani mama zetu walikuwa hawana social medias, ina maana walikuwa hawapendwi??
Me nasema hivi mwanaume asiekuweka profile picha anakupenda zaidi kuliko anaekuweka🏃🏃🏃🏃
Kuna mtu hapa analalamika kuwa mume wake haweki picha yake profile picha kwenye WhatsApp au Facebook hata Instagram
Mimi: Kwani lazima uwekwe?!
MTU: Ndio ili Dunia ujue kuwa Nina mume anaenipenda
Mimi: kwahiyo asipoweka picha yako hakupendi?!
MTU: Upendo umepungua🙄
Mimi: kwakweli namsapoti asilimia 100 mumeo kutokuweka wewe wala watoto wenu kwenye profile picha, maana NI ushamba na ulimbukeni mkubwa
Cha mwisho Mapenzi ya kweli hayapimwi kwenye profile picha za social medias..
Ivi kwanini midada ya sikuhizi ina ulimbukeni, kutokujiamini?!
Zamani mama zetu walikuwa hawana social medias, ina maana walikuwa hawapendwi??
Me nasema hivi mwanaume asiekuweka profile picha anakupenda zaidi kuliko anaekuweka🏃🏃🏃🏃