Mume wangu haniridhishi ktk tendo la ndoa.

Je! Alikuwa hivyo mwanzoni mlipoanza mapenzi yenu?? Je alianza kubadilika lini? Mlikaa kwa maelewano kwa mda gani baada ya kukaa ndani?? Una uhakika kwamba anatembea nje?? Wanaokupa taarifa zake ni vyanzo vya kuaminika?? Mwisho kama mmefunga ndoa sali kwa imani.Na behave kama mke.
 
Wadau napitia mengi, lakini ili ndoa istawi hili jambo lazima maana liko ndani yetu. Namridhisha kitandani mume wangu ili watoto wangu wamuone baba yao kila siku asije kudhibitiwa na michepuko. Pia tuweze kujenga maana watoto wanatutegemea sisi. Kiukweli nimeona watu wengi wakiacha familia zinateseka sababu ya michepuko watoto wanateseka
 
Tumia vidole kujifikisha kileleni,

Dushe ya huyo jamaa imeexpire baada ya kula 071 za machangudoa
 
0d85674b306cd3ca0444d4ae1a1905ee.jpg


Habari zenu wadau wa humu tena, ninalileta hili ili tu nipate ushauri, nijifunze si nia mbaya hasa kwa wale ambao mko ktk ndoa mke/mme naomba ushauri wako si kejeli, ukinitukana sidhani km utakuwa umenisaidia kwa kweli maana ni bora mm ninaitaji kujua kuliko wale waliokaa na kulalama mitaani.

Mm niko ktk ndoa kwa miaka minne tuna watoto wawili, nimegundua mume wangu anachepuka kwa siri kiasi kutojali hisia zangu kabisa, pamoja na mapito mengi na kuamua kusamehe na kusimama km mke hiki kitu mm kinanikwaza sana na naumia sanasana maana najiuliza nn nimeshindwa kumfanyia, mm ni mwanamke ambae si mpofu kitandani najitaidi kumpa kadri niwezavyo ila nashangaa mwenzangu anashindwa kujali na kuheshimu ndoa yake. Naweza kukaa miezi miwili tunalala mtu akitoka job kwa malaya, mara kichwa kule tunalala mzungu wa nne! Visa jamani, ni tabia ambazo akishaanza kuchepuka amebadirika. Siku akiamua kukushika akishamaliza yy ww huku bado hajali nabaki na hamu naumia sana moyoni.

Mm sidhani km mwanaume akitembea nje km anaweza kumridhisha mkwe, jamani mm ni mwanamke naejiheshimu na nina hisia zangu, nifanyaje? Maana namwambia lakini anakataa na hata umwitie yoyote huwa hakubali!

Najiuliza hivi mtu unawezaje kuishi na mwanamke mkeo ukajisahau kiasi unamletea dharau ukishaonja nje ndoa una maana gani, maana huwa nasikiliza jirani akipiga kelele najiuliza nimelala na mwanaume kweli! Naomba ushauri wako.
Embu tuonane nikushauri vizuriiiiiiii ikiwezekana njoo nae
 
Mmmmh makubwa!! Ila hakuna kinachoshindikana ktk maongez. Jitahd kukaa nae chini na kuwa mpole sna na pia kuwa maridhia kwke, huyo ni binaadam unapomfanyia mazur na kumcare zaid, nafc yke itamsuta.
 
Je! Alikuwa hivyo mwanzoni mlipoanza mapenzi yenu?? Je alianza kubadilika lini? Mlikaa kwa maelewano kwa mda gani baada ya kukaa ndani?? Una uhakika kwamba anatembea nje?? Wanaokupa taarifa zake ni vyanzo vya kuaminika?? Mwisho kama mmefunga ndoa sali kwa imani.Na behave kama mke.
Yuko vizuri mapungufu yapo sawa, pindi anapoanza tu hali chakula, hakai ndani ile mipaka tulioekeana anavunja na kibaya hadi simu atapokea akiwa ndani
 
0d85674b306cd3ca0444d4ae1a1905ee.jpg


Habari zenu wadau wa humu tena, ninalileta hili ili tu nipate ushauri, nijifunze si nia mbaya hasa kwa wale ambao mko ktk ndoa mke/mme naomba ushauri wako si kejeli, ukinitukana sidhani km utakuwa umenisaidia kwa kweli maana ni bora mm ninaitaji kujua kuliko wale waliokaa na kulalama mitaani.

Mm niko ktk ndoa kwa miaka minne tuna watoto wawili, nimegundua mume wangu anachepuka kwa siri kiasi kutojali hisia zangu kabisa, pamoja na mapito mengi na kuamua kusamehe na kusimama km mke hiki kitu mm kinanikwaza sana na naumia sanasana maana najiuliza nn nimeshindwa kumfanyia, mm ni mwanamke ambae si mpofu kitandani najitaidi kumpa kadri niwezavyo ila nashangaa mwenzangu anashindwa kujali na kuheshimu ndoa yake. Naweza kukaa miezi miwili tunalala mtu akitoka job kwa malaya, mara kichwa kule tunalala mzungu wa nne! Visa jamani, ni tabia ambazo akishaanza kuchepuka amebadirika. Siku akiamua kukushika akishamaliza yy ww huku bado hajali nabaki na hamu naumia sana moyoni.

Mm sidhani km mwanaume akitembea nje km anaweza kumridhisha mkwe, jamani mm ni mwanamke naejiheshimu na nina hisia zangu, nifanyaje? Maana namwambia lakini anakataa na hata umwitie yoyote huwa hakubali!

Najiuliza hivi mtu unawezaje kuishi na mwanamke mkeo ukajisahau kiasi unamletea dharau ukishaonja nje ndoa una maana gani, maana huwa nasikiliza jirani akipiga kelele najiuliza nimelala na mwanaume kweli! Naomba ushauri wako.
Kuna kitu kimoja ambacho wanawake wengi wakishaolewa huwa wanajisahau,sisi wanaume tunavutiwa sana na hisia za macho,kwa hiyo kina dada wakishaolewa wakazaa basiii anafikiri ameshamaliza kwa hiyo ile namna iliyomvutia mume wake awali anaiacha,ngoja nikuambie mwanaume ni yule yule kama alikuwa anavutiwa na mavazi uliyokuwa unavaa au u smart uliokuwa nao usidhani kwamba hahitaji tena hiyo hali no anahitaji Sana'a,kwa hiyo kama unashinda na dira akirudi anakukuta na dira uliloshinda nalo kutwa mzima wakati nje huko kuna wanaopiga vitu anavyovutiwa navyo lazima uibiwe,kabla ya kulala mtie tamaa ya ngono mumeo ukiwa chumbani vaa night dress inayoonyesha Nguo yako ya ndani kwa mbaali na uwe na shughuli za kujizungusha zungusha mahali alipo,pia wakati wa usiku epuka story zitakazomtoa kwenye Mudy mumeo mpaka baada ya tendo waweza ingiza story zako hata kama kakukosea subiri akupe dozi then mwambie lililo moyoni,nitarudi baadae.
 
0d85674b306cd3ca0444d4ae1a1905ee.jpg


Habari zenu wadau wa humu tena, ninalileta hili ili tu nipate ushauri, nijifunze si nia mbaya hasa kwa wale ambao mko ktk ndoa mke/mme naomba ushauri wako si kejeli, ukinitukana sidhani km utakuwa umenisaidia kwa kweli maana ni bora mm ninaitaji kujua kuliko wale waliokaa na kulalama mitaani.

Mm niko ktk ndoa kwa miaka minne tuna watoto wawili, nimegundua mume wangu anachepuka kwa siri kiasi kutojali hisia zangu kabisa, pamoja na mapito mengi na kuamua kusamehe na kusimama km mke hiki kitu mm kinanikwaza sana na naumia sanasana maana najiuliza nn nimeshindwa kumfanyia, mm ni mwanamke ambae si mpofu kitandani najitaidi kumpa kadri niwezavyo ila nashangaa mwenzangu anashindwa kujali na kuheshimu ndoa yake. Naweza kukaa miezi miwili tunalala mtu akitoka job kwa malaya, mara kichwa kule tunalala mzungu wa nne! Visa jamani, ni tabia ambazo akishaanza kuchepuka amebadirika. Siku akiamua kukushika akishamaliza yy ww huku bado hajali nabaki na hamu naumia sana moyoni.

Mm sidhani km mwanaume akitembea nje km anaweza kumridhisha mkwe, jamani mm ni mwanamke naejiheshimu na nina hisia zangu, nifanyaje? Maana namwambia lakini anakataa na hata umwitie yoyote huwa hakubali!

Najiuliza hivi mtu unawezaje kuishi na mwanamke mkeo ukajisahau kiasi unamletea dharau ukishaonja nje ndoa una maana gani, maana huwa nasikiliza jirani akipiga kelele najiuliza nimelala na mwanaume kweli! Naomba ushauri wako.
Nichek in box..
 
0d85674b306cd3ca0444d4ae1a1905ee.jpg


Habari zenu wadau wa humu tena, ninalileta hili ili tu nipate ushauri, nijifunze si nia mbaya hasa kwa wale ambao mko ktk ndoa mke/mme naomba ushauri wako si kejeli, ukinitukana sidhani km utakuwa umenisaidia kwa kweli maana ni bora mm ninaitaji kujua kuliko wale waliokaa na kulalama mitaani.

Mm niko ktk ndoa kwa miaka minne tuna watoto wawili, nimegundua mume wangu anachepuka kwa siri kiasi kutojali hisia zangu kabisa, pamoja na mapito mengi na kuamua kusamehe na kusimama km mke hiki kitu mm kinanikwaza sana na naumia sanasana maana najiuliza nn nimeshindwa kumfanyia, mm ni mwanamke ambae si mpofu kitandani najitaidi kumpa kadri niwezavyo ila nashangaa mwenzangu anashindwa kujali na kuheshimu ndoa yake. Naweza kukaa miezi miwili tunalala mtu akitoka job kwa malaya, mara kichwa kule tunalala mzungu wa nne! Visa jamani, ni tabia ambazo akishaanza kuchepuka amebadirika. Siku akiamua kukushika akishamaliza yy ww huku bado hajali nabaki na hamu naumia sana moyoni.

Mm sidhani km mwanaume akitembea nje km anaweza kumridhisha mkwe, jamani mm ni mwanamke naejiheshimu na nina hisia zangu, nifanyaje? Maana namwambia lakini anakataa na hata umwitie yoyote huwa hakubali!

Najiuliza hivi mtu unawezaje kuishi na mwanamke mkeo ukajisahau kiasi unamletea dharau ukishaonja nje ndoa una maana gani, maana huwa nasikiliza jirani akipiga kelele najiuliza nimelala na mwanaume kweli! Naomba ushauri wako.
Unasikiliza jirani akipiga kelele za nini? Miguno ya mahaba au?
 
Wanawake mna umwezo mkubwa sana wakutufanya wanaume tufike kileleni kwa kuchelewa ama kwa kuwahi...Hii ikimaanisha unaweza uka-play part yako kama mwanamke vizuri kama una utundu huo lakini mpka pale utakapo ona umerithika ndo na yeye amalize....So labda na wewe umepwaya kwenye nafasi yako...
 
Piga goti sana ukiomba Mungu ndo pekee anaweza kumbadilisha mume wako.Usichoke kumuombea mwenza wako na Mungu atasikia maombi yako.Zaidi ya hapo huwezi kupata msaada kwa binadamu juu ya kuchepuka na kutokukuridhisha mume wako.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom