magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Me mwenyewe sielewi kwa nn niliamua kuchangia huu uzi!?? Maana hata kwa akili ya kawaida tu,hata km mtu hajasoma kabisaa,huu ni uongo tena uliokomaa!Sasa Ndugu, umeshasikia wapi mimba inatafutwa kwa kupima pH ya k? Na mwanaume kajibeba kwenda kufanya sperm count test akaacha mkewe nyumbani!