Hata kama kulipa fadhila sio hivyo ni bora wangesoma wao huko ni kumkomoa mtuKuna kulipa fadhila ila hiyo imekuwa too much..Cha kukushauri tu msaidie kivingine ila sio kuingia mkataba na shetani, hiyo VITA ni mbaya haina mwisho mzuri.
Mi naona uachane nae tu, kama unasikitishwa na tabia yake
kuna watu wameumbwa na roho ya huruma sana ya kusaidia ndugu zao inaweza ikawa ata hajafungwa na mtu ila alipotoka kijijini kwao, motisha yake alikuwa anasema nasoma nipate kazi nisaidie ndugu zangu..kwani anakumbuka maisha alivyo yaacha huko.
Nakumbuka nilivyo enda kijijini mara ya kwanza nilipewa hadith za jinsi baba alivyo soma, bibi alikuwa anaenda kuuza mboga zake mjini atume kwa mzee hela, babu na mdogo wake walikuwa wanaenda kushinda maporini kuchoma mkaa illegally kwa maficho ili walipe ada. Alivyo kuja mjini alifikia kwa mjomba wake etc.
Sasa mtu kama huyu roho inamsuta asiposaidia kwao
But of course kusaidia kupita kiasi paka ukajisahau nako kuna shida ila sio ya level yakumfanyia shirk mumeo.
Yaani hapo kuna kitu haya maisha yapo sana kwenye hizi familia zetuhapa ndo mwanzo wa matatizo kama mshahara unamalizia ndugu hata luxury ambayo hulipii huitaki something gravy kinaendelea hapa
Si anapewa cash naye anapitiliza mkuu hapo huelewi tu?Analipiwa afu ,alikiwa amepanga nyumba isiyo na silingbord aise !!!!
Weee usimdanganye hicho kitu asidhubutu, unataka siku asipowapa wamuakie wanaweza mwambia muache huyo mkeoNikushauri nenda kwa ndugu zako ukweni kisha waeleze jamaa anavyopata tabu. Wanaweza kupata roho ya imani wakalegeza. Kawaeleze yote bila kificho. Huku ukiwaomba ushauri jinsi gani mumsaidie.
Pls usiwaambie direct kuwa wao ndio chanzo. Wee waambie tu jamaa hafanyi maendeleo na hujui pesa anapeleka wapi hata vaa yake ni ya shida. So unahitaji msaada wao mumsaidie.
Tena funga kabisa bakuli lako, nenda kama nikanisani piga magoti kwa Mungu amfungue akili yake sio yeye, hao ndugu zake watakugeuka piga maombiNilishafanya hivyo lakin asilimia kubwa waliniambia mi Muongo sababu hela ya jamaa iko nje nje Sana haiwezekan ikawa kweli tena nikaambiwa usiendelee kuongea baba akakusikia hatokuamin na anaweza sema unayako nikafunga bakuli langu
Achana naye huyo yawezekana naye ndiyo tabia yake, watu wahuko tabia zao ndivyo zilivyo hata wajita thuuuu kama hivyo hivyo na midomo michafu balaa muombee afunguke ufahamu wakeNingakua kimaslah sizan Kama ningekua natoa hell yangu namnunulia nguo, Wala nisingekua nanunua vitu ndan 80% ya vitu vilivyomo ndani kuanzia shuka mpaka vyombo nanunua Mimi Kama nipo kimaslah ningekua nanunua??? Si ningejiwekea hela zangu kwenye ac tu.....
Kama ulikuwepo na kama sio chaguo lao au kabila lao wanakuwa hivyo, yaani huyu Mme yupo upande hakumbuki chochote, kuna wazazi wamepinda asikwambie mtuWengine wanakuwa na chuki wa wake wa watoto wao,na hujaribu kuhakikisha fedha zote zinaenda kwao (wazazi)
Muongo ww. Tena muongo mkubwa. Unajua maslai utakayopata endapo atakubaliana na roho yako chafu. Ndo maana roho imekuchafuka mpaka umekuja jamvini huku kuomba msaada jinsi ya kunufaika na msukuma. Yaan apao akuna cha mwanamke bali ni jiniNingakua kimaslah sizan Kama ningekua natoa hell yangu namnunulia nguo, Wala nisingekua nanunua vitu ndan 80% ya vitu vilivyomo ndani kuanzia shuka mpaka vyombo nanunua Mimi Kama nipo kimaslah ningekua nanunua??? Si ningejiwekea hela zangu kwenye ac tu.....
Ulizia wafanyakaz wa tanesco watakuambia yet anapewa laki kwa ajir ya nyumba lkn nilimkuta anaishi chumba na sebule Sasa ndio tumepanga nyumba kubwa
Mie nimeshuhudia pesa inachukuliwa kwa huyu halafu anapewa huyu wakati huo huo naye anakazi tu mwenzao kila shida anasukumiziwa yeye dada wanadanga huko watoto asomeshe yeye tena wao wapo kwenye nyumba zao huyu kapanga kazi yake kupeleka pesa tuKama mzazi ana watoto wengi na ikatokea akawa anabagua watoto kutokana na bifu walizozitengeneza watoto;haoni hasara wewe mmoja kupata hasara.
Ni kweli haya maisha yana changamoto;ndio maana kuna msemo ukiona nyani mzee ujue amekwepa mikuki mingiKama ulikuwepo na kama sio chaguo lao au kabila lao wanakuwa hivyo, yaani huyu Mme yupo upande hakumbuki chochote, kuna wazazi wamepita asikwambie mtu
Hilo uitwa kuandamwa na pepo la umasikiniMie nimeshuhudia pesa inachukuliwa kwa huyu halafu anapewa huyu wakati huo huo naye anakazi tu mwenzao kila shida anasukumiziwa yeye dada wanadanga huko watoto asomeshe yeye tena wao wapo kwenye nyumba zao huyu zezeta kapanga kazi yake kupeleka pesa tu
Mie hapo hata sitii nenoha ha ha ha mambo mengi watu wanafikiri ni kufikirika tu,lakini yakimtokea ndio anathibitisha.
ha ha ha ha hayo ni maisha tuMie hapo hata sitii neno
Yaani hujakosea ikifika sikukuu dada wanaanza kupiga simu watoto wanaomba nguo za sikukuu hapo yupo kwa mmewe na niwatoto wao wema gani huo wema ukizidi ni ujingaKuna kipindi nilikua ukwen...Kuna mawifi zangu 2 wameolewa nao walikuja kusalimia, tukiwa jikon mama akawa anawapa mbinu wanae wa kike za kuomba hela kwa Kaka yao ,wameolewa lkn mama anataka wanunuliwe nguo na nilazima