ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,972
- 1,649
Hahaha! Umeonae, yaan mimi nnavyopenda kulala, huyo jamaa angekuwa ndio h'band wangu sahizi labda wana mtoto na h'gal, ntaachaje kulala nimlinde mtoto wa mwanamke mwenzangu ambae sijui hata kitovu kilitupwa wapi? Huyo jamaa ana lake jambo asee, anasubiri h'gal amalize kazi ili amkague au?
hilo la kitovu ni thread tosha ya kuja nayo hapa jamvini. heri umenikumbusha, hii kitu ilileta utata mkubwa mtaani kwetu juzi kati.