Roza Mpenzi, tuliza Mzuka MamaMtoa mada inaelekea ulifurahi sana kuona Max na mwanae walivyotukanwa katika ile blog???? acha USENGE hatutaki kuona hbr za hiyo blog wala upuuuzi wowote unaohusu huko, kifupi koma uwe na huruma kuona boss na mwanae walivyodhalilishwa!!!!
Upuuzi wako na mumeo nahiyo blog HAVITUHUSU!!!!
Zionist una hakika mtasha hana hatia,kwani watu kutongozana huwa wanatongozana kivipi? Halafu nahisi huyu mlami kwa mbaaaaaali unaanza kupata hisia flan flan juu yake otherwise usingetumia maneno ya kwenye red hayo.Chunguza kwa umakini hisia zako na uamue katika maisha yako unataka kuelekea wapi.Maisha ni mafupi mama!mimi ni mshabiki wa blogu ya u-turn, ila mume wangu kwa muda wa miezi minne sasa amekuwa na kisirani kweli heti, kisa mimi kuitembelea hiyo tovuti ya uturn. sababu zake ni kwamba nina ujeuri. basi kuna rafiki yangu mmoja ambaye ameolewa na mzungu aliniita nyumbani kwake. shemeji yake ambaye pia ni mzungu alikuwepo hapo. tukapata vinywaji kidogo, na kubadirishana namba za simu na huyu shemeji yake. mara kadhaa tumewasiriana kama marafiki tu, mume wangu akatokea kuona text moja niliyotumiwa na huyu mzungu mabayo ilikuwa tu ni knijulia hali, matokeo yake kaja juu na kunipiga sana. Alinifukuza kwa siku 4, pia ananitishia kuniua iwapo sitasitisha mawasiliano na huyu mzungu pamoja na kuacha mara moja kutembelea blogu ya uturn. Hataki hata urafiki wangu na yeyote ambaye ana uhusiano na huyo dada mwenye blog ya u-turn. Anasema heti nikiendelea kutokumsikiliza ataniua na huyu mzungu, wakati mzungu wa watu hana hatia yoyote? Jmani huu si ni ubaguzi wa rangi? kwa nini anifukuze au kuniua, kisa urafiki na mtu wa rangi tofauti, hii kweli ni haki? mm urafiki na mzungu siachi, na uturn siondoki, huu ni unyanyasaji wa kijinsia
mm urafiki na mzungu siachi, na uturn siondoki, huu ni unyanyasaji wa kijinsia
wewe bahati yako hujaachwa umekutwa na msg halaf ukarudishwa kwanza mwanamke mwenye adabu vip atpeana namba na mwanaume tu eti shemeji ya rafikiyangu ingekuwa ni mimi usingerudi kwangu ili aku tex vizuri