Lonely heart
Member
- Oct 21, 2011
- 46
- 20
Habarini ndugu zangu...nilishawah kuja hapa kuwaelezea manyanyaso niyapatayo kwa mama na dada wa mume wangu,Mkanishauri na kweli nilisimama na kusema NO!
Kilichofuata ni visa toka kwa mume wangu,ikapelekea yeye kuninyima hela za matibabu nilipokua mjamzito ambapo nilikua naumwa na kulazwa mara kwa mara,ikalazmika niwe najihudumia matibabu mwenyewe,nilijitahidi sana kuvumilia lakini kila nilipotoka hosp. Nilikua narudishwa wiki chache baadae na kulazwa tena na nilikua nableed na mimba ilikua inataka kutoka, kwa kweli niliteseka sana yani sana na ujauzito kwani Mume wangu alikua ananinyanyasa saana.
na kutokana na kulia mara kwa mara kitovu cha mtoto kikajisokota shingoni mwake na kumfanya aheme kwa shida na akawa hachezi tena,Nikaamua kwenda hosp. Kuwaeleza wakanifanyia utrasound na kugundua kuwa mapigo ya moyo ya mtoto yanaenda taratibu sana na huenda mtoto akafia tumboni muda mchache,Wakaniambia wananifanyia upasuaji mda uleule ili wajaribu kumwokoa mtoto,(wiki ya 33 ya ujauzito)
walinipasua na kunitoa mtoto wa kiume lakini alikua hawez kuhema vizuri,Wakamwekea oksjen ikamsaidia na anaendelea kukua vzuri...,Baada ya kujifungua visa ndo vimezidi,Mume wangu amenitenga kbs hataki kuskia habari zangu wala za mtoto, na alishanifukuza chumbani kwetu siku nyingi toka nikiwa na ujauzto wa miez 5 mpaka sasa,nimemwambia km hanihtaji anipetalaka nirudi kwetu watoto nitalea mwenyewe,Hataki,
NIFANYEJE JAMANI NAOMBENI USHAURI
Kilichofuata ni visa toka kwa mume wangu,ikapelekea yeye kuninyima hela za matibabu nilipokua mjamzito ambapo nilikua naumwa na kulazwa mara kwa mara,ikalazmika niwe najihudumia matibabu mwenyewe,nilijitahidi sana kuvumilia lakini kila nilipotoka hosp. Nilikua narudishwa wiki chache baadae na kulazwa tena na nilikua nableed na mimba ilikua inataka kutoka, kwa kweli niliteseka sana yani sana na ujauzito kwani Mume wangu alikua ananinyanyasa saana.
na kutokana na kulia mara kwa mara kitovu cha mtoto kikajisokota shingoni mwake na kumfanya aheme kwa shida na akawa hachezi tena,Nikaamua kwenda hosp. Kuwaeleza wakanifanyia utrasound na kugundua kuwa mapigo ya moyo ya mtoto yanaenda taratibu sana na huenda mtoto akafia tumboni muda mchache,Wakaniambia wananifanyia upasuaji mda uleule ili wajaribu kumwokoa mtoto,(wiki ya 33 ya ujauzito)
walinipasua na kunitoa mtoto wa kiume lakini alikua hawez kuhema vizuri,Wakamwekea oksjen ikamsaidia na anaendelea kukua vzuri...,Baada ya kujifungua visa ndo vimezidi,Mume wangu amenitenga kbs hataki kuskia habari zangu wala za mtoto, na alishanifukuza chumbani kwetu siku nyingi toka nikiwa na ujauzto wa miez 5 mpaka sasa,nimemwambia km hanihtaji anipetalaka nirudi kwetu watoto nitalea mwenyewe,Hataki,
NIFANYEJE JAMANI NAOMBENI USHAURI