Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Binadamu ana vijambo sana
Ni mara nyingi sana nimekuwa nikiwasikia vijana wakilalamika kuwa mabinti siku hizi hawawataki vijana na wamekuwa wakitoka na watu wazima au kama ni kijana basi wanahakikisha kuwa kijana huyo ana mke
Nimewahi kufanya mazungumzo na vijana wengi tu na malalamiko haya mara nyingi hutolewa na vijana ambao hawajaoa,hili kidogo lilinistaajabisha na kujiuliza sana maswali kadhaa
Nikasema inamaana sisi ambao hatujaoa "hatuuziki" tena kwa akina dada hadi tuoe?
Sikuamini hadi nilipofanya ka utafiti kadogo kwa wadada kadhaa
Majibu niliyoyapata kutoka kwa hawa wadada yalinistua sana,kati ya mabinti niliowauliza kuhusiana na hili mmoja tu ndio alikana kutoka na wanaume ambao wapo kwenye ndoa na wengine wote walikubali na kunipa sababu kadhaa
Kati ya sababu ambazo walinipa ni kuwa eti mume wa mtu anajua kutunza na anajua thamani ya mwanamke na matumizi,walidai kuwa vijana ambao hawajaoa wanakuwa na mambo mengi sana kama vile kujiimarisha kiuchumi na malego ya kuwa na familia hivyo mambo hayo husababisha wawe bahili sana
Nilikuna kichwa ilipofikia hapo kwani niliona kama wananisema hivi ....
Wakaendelea kudai kuwa waliooa wenyewe wamechoshwa na wake zao na wanatafuta pumziko na mara nyingi wanakuwa wanajua mahitaji ya mwanamke kwasababu wanae nyumbani
Kwa kifupi waliongea mengi sana na kufikia kuniambia Eiyer,"mume wa mtu mtamu sana nyie mabachela mtasubiri sanaaaa"
Kwa ufupi akina dada ndio wamekuwa na aina hii ya kuyatazama maisha siku hizi
Kaazi kweli kweli ndugu zangu .....!!
Ni mara nyingi sana nimekuwa nikiwasikia vijana wakilalamika kuwa mabinti siku hizi hawawataki vijana na wamekuwa wakitoka na watu wazima au kama ni kijana basi wanahakikisha kuwa kijana huyo ana mke
Nimewahi kufanya mazungumzo na vijana wengi tu na malalamiko haya mara nyingi hutolewa na vijana ambao hawajaoa,hili kidogo lilinistaajabisha na kujiuliza sana maswali kadhaa
Nikasema inamaana sisi ambao hatujaoa "hatuuziki" tena kwa akina dada hadi tuoe?
Sikuamini hadi nilipofanya ka utafiti kadogo kwa wadada kadhaa
Majibu niliyoyapata kutoka kwa hawa wadada yalinistua sana,kati ya mabinti niliowauliza kuhusiana na hili mmoja tu ndio alikana kutoka na wanaume ambao wapo kwenye ndoa na wengine wote walikubali na kunipa sababu kadhaa
Kati ya sababu ambazo walinipa ni kuwa eti mume wa mtu anajua kutunza na anajua thamani ya mwanamke na matumizi,walidai kuwa vijana ambao hawajaoa wanakuwa na mambo mengi sana kama vile kujiimarisha kiuchumi na malego ya kuwa na familia hivyo mambo hayo husababisha wawe bahili sana
Nilikuna kichwa ilipofikia hapo kwani niliona kama wananisema hivi ....
Wakaendelea kudai kuwa waliooa wenyewe wamechoshwa na wake zao na wanatafuta pumziko na mara nyingi wanakuwa wanajua mahitaji ya mwanamke kwasababu wanae nyumbani
Kwa kifupi waliongea mengi sana na kufikia kuniambia Eiyer,"mume wa mtu mtamu sana nyie mabachela mtasubiri sanaaaa"
Kwa ufupi akina dada ndio wamekuwa na aina hii ya kuyatazama maisha siku hizi
Kaazi kweli kweli ndugu zangu .....!!