dnjoki
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 423
- 418
Mama suki pawania, Yaani kukojozwa mara nne tu ndio anataka kuhamia,duhhh!!!!yaani kama kunjunjana kote kisha kakojozwa mara nne tu basi hapo napo atakimbia,maana hata huyo hana viwango.
Ewaah 'exactly' (hili neno nimeliandika saa zima)kwamba kila kitu lazima kiwe mutual sio?
Kabisa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣Wakati naanza kujua mema na mabaya, babu yangu aliwahi kuniambia huwezi 'kumridhisha' mtu 'asiyeridhishwa' na wewe.
Gunia2 za mkaa😮😮😮Ngona kwanza mume wake afahamu ndio atajua kuwa kumbe anafikaga kileleni ni vile tuu anasahau, wanandoa sex is overrated...
Hebu fanya unikojoze nijue pressureyangu ni ya kushuka au ya kupandainaonesha nawe hujawahi kojozwa, una nyetoka tu
Wamesahau Mungu aliwapa vikojoleo kwa ajili ya kuzaana na kuongezeka tu, hayo ya kukojozana sijui nani alieyaleta.Sikujui Kuna watu wanaenjoy sex hivo
Wacha weeh, sema hizi raha zinazoletwa na 'uzinzi/uasherati' zina mwisho mbaya.
Wacha weeh, sema hizi raha zinazoletwa na 'uzinzi/uasherati' zina mwisho mbaya.
Ila aliyegundua kukojozana anapaswa kulaaniwa, ametuachia matatizo mengi sana duniani.