.............mama yako hakuzaa hovyo hovyo !?
Tofauti ya umri haiondoi sifa ya kuwa mume au mke !
Shirikisha ubongo wako na mikono yako katika kuandika !
mkuu unaongea kama na wewe una serengeti boy nyumbani..sio mbaya though,age ain't nothing but a numberYa umri yanahusikaje na msiba?
Pole bibie Khadija Kopa
Walikuwa wanapenda sana jamani, hili ni pigo jingine kubwa kwa Jembe letu Hadija Kopa baada ya msiba mzito wa mwanae kipenzi Omar.
Yule alikufa kitambo aliolewa na Serengeti boy Diwani wa maccm Bwagamoyo ndo hivyo tena mheshimiwa Mungu kamuwekea kikomo cha kuishi.
Walikuwa wanapenda sana jamani, hili ni pigo jingine kubwa kwa Jembe letu Hadija Kopa baada ya msiba mzito wa mwanae kipenzi Omar.
Hapana aliye kufa nimume wake aliyekuwa anaishi naye nadhani mume wake wa awli waliachana walioona na huyu aliyefariki leo mwaka 2008.
Mkuu kwani wewe kinachokusumbua hasa ni kitu gani, mbona hukulazimishwa kufungua uzi huu kama haukuhusu?bolded:speak for yourself,matter of fact ex me out
unaposema jembe letu na mimi ni mwana jf automatically umenihusisha,..hakuna tija kwenye haya malumbano hebu tuichambue rasimu ya wakina baregu,mimi inaniboa inapotaja tanzania bara na rais bado ana madaraka makubwa,we unaonaje?Mkuu kwani wewe kinachokusumbua hasa ni kitu gani, mbona hukulazimishwa kufungua uzi huu kama haukuhusu?
jamani mbona hicho kiti kimepata mkosi mara mbili au kuna mkono wa mtu mambo ya uchawi
Ya umri yanahusikaje na msiba?
Pole bibie Khadija Kopa
Mambo ya umri yanahusika sana ili kuweka kumbukumbu sawa.Ujue watu wajinga sana...Mambo ya umri na kifo hazina uhusiano wowote..One way ..