Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hehehehe.... hongera kwa kuolewa na dume la mbegu......... Sasa huyo ndio mwanaume sasa!rafiki hofu kwako,
halafu kweli hujanielewa..... nimesema sijawahi kusikia, siyo kuona. huyo wangu tu ananitoa jasho...........ndo maana sipati picha uvivu wa mwanaume, lol!
Manake hukuolewa kwenda kumpikia na kumfulia manake hata dada zake wanaweza hiyo kazi.
Nawe usitoke jasho hovyo.... gangamala mtoto wa kike.... Kuleni raha maisha mafupi haya!
BTW mkwe wangu hajambo?