Mume wa jinsi hii........kama mke utavumilia kweli?

rafiki hofu kwako,
halafu kweli hujanielewa..... nimesema sijawahi kusikia, siyo kuona. huyo wangu tu ananitoa jasho...........ndo maana sipati picha uvivu wa mwanaume, lol!
Hehehehe.... hongera kwa kuolewa na dume la mbegu......... Sasa huyo ndio mwanaume sasa!

Manake hukuolewa kwenda kumpikia na kumfulia manake hata dada zake wanaweza hiyo kazi.

Nawe usitoke jasho hovyo.... gangamala mtoto wa kike.... Kuleni raha maisha mafupi haya!

BTW mkwe wangu hajambo?
 
Hehehehe.... hongera kwa kuolewa na dume la mbegu......... Sasa huyo ndio mwanaume sasa!

Manake hukuolewa kwenda kumpikia na kumfulia manake hata dada zake wanaweza hiyo kazi.

Nawe usitoke jasho hovyo.... gangamala mtoto wa kike.... Kuleni raha maisha mafupi haya!

BTW mkwe wangu hajambo?
Mkwe wako hajambo............. vipi mkwe wangu huko boarding anaendeleaje? bye dad! ha haaaaaaa
 
Mkwe wako hajambo............. vipi mkwe wangu huko boarding anaendeleaje? bye dad! ha haaaaaaa
Heheheh... weekend tukajifanya kwenda kumtembelea.... pale getini tukaambiwa njia tuliyokuja nayo ndio hiyohiyo ya kurudia... damn!

Naamini katakuwa salama......... Tafazali ambia mkwe wangu asije kuwa na miguvu kama baba yake akanitengulia binti yangu kiuno eti:lol:
 
Heheheh... weekend tukajifanya kwenda kumtembelea.... pale getini tukaambiwa njia tuliyokuja nayo ndio hiyohiyo ya kurudia... damn!

Naamini katakuwa salama......... Tafazali ambia mkwe wangu asije kuwa na miguvu kama baba yake akanitengulia binti yangu kiuno eti:lol:
kwani hiyo shule haina visiting day? au ulijifanya nyie ndo mnamiss sana binti yenu?............ tena kwa mwanangu, baada ya sendoff mtatakiwa kurudi tena mkisikia ameshajifungua, kuja kuona mjukuu
tulivyokuwa primari nakumbuka tulisoma mtoto wa nyoka ni nyoka................ nina uhakika 100% huyo ndo babake............ furahia tu.......................
 
kwani hiyo shule haina visiting day? au ulijifanya nyie ndo mnamiss sana binti yenu?............ tena kwa mwanangu, baada ya sendoff mtatakiwa kurudi tena mkisikia ameshajifungua, kuja kuona mjukuu
tulivyokuwa primari nakumbuka tulisoma mtoto wa nyoka ni nyoka................ nina uhakika 100% huyo ndo babake............ furahia tu.......................
Hehehehe......... unataka kunambia atapatiwa burudani kama mie navyopatiwa na mamaye?
 
........Wana MMU mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......Ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • Mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • Hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • Wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
Hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?
huyo jamaa ni MGEDA(Mjeshi balaa)
 
Nyinyi wanawake mna matatizo sana, hivi ni nani aliwaambia wanaume ni kama mashine na ile kitu ni kipande cha mti kwa hiyo kimekakamaa saa zote? Mumeo karudi kachoka hata hamu ya kula kande ulizopika vibaya hana ndio atakuwa na hamu ya huo mwili ambao haujaogeshwa tangu asubuhi?

Hebu kuwa msafi wa mwili na kinywa, andaa chai na karanga au korosho, mpatie mzee akirudi halafu apate maji ya kuoga. Weka mazingira safi hapo chumbani na chagua maneno ya kuongea naye halafu uone kama hatokuwa na hamu na wewe.

Nguo za kumvalia mwanaume wako ndani ndio mnavaa kwenda sokoni za kuvaa ofisini ndio mnavaa ndani. Na wapo ambao wameona kukaa uchi muda wote ndio kivutio bila kujua macho ya mumeo yakiuzoea mwili wako napo pia ni tatizo. Vaa nguo fupi inama hovyo hovyo unapokuwa umekusudia kumsedyuzi sio mpk kanisani, ebo!

Na sitaacha kuwaambia ujinga wenu mwingine: Vyakula mnavyotulisha ni sahihi?
Nani aliwaambia wanaume wanakula nafaka zilizokobolewa? Mboga za majani zimepikwa mpk zimekuwa mrenda na chumvi kibao kama unakausha samaki. Kwenye nyama umejaza mafuta kibao, na bado unategemea huyo mumeo awe na nguvu kama mimi!

Tambueni tofauti yenu na wanaume. Mwili wa mwanaume unahitaji nguvu na blood circulation nzuri kufanikisha haya mnayoyataka. Hapa ukiulizwa ni vyakula gani unamlisha mumeo utaleta vichekesho. Kwa akili zenu mnadhani kumpikia mume wali kuku mara 4 kwa wiki ndio kumpenda wkt unamharibu. Kazi kukariri mitindo ya ngono pasina kujishughulisha na nutrition.

Kwendeni zenu kule na mambo yenu ya kuiga. Mimi wife wangu anapika chakula changu special na yeye na mwanawe wanakula mikuku yao ya kwenye friji na wala simuulizi. Mkioneshwa hela mnaona kula hovyo ndio maisha, nyoo! Mbona wauza madafu wanakamua 24hrs? Badilikeni, jifunzeni mambo yenye kuleta faida: kupika na lishe ni mojawapo

Hapo umenena.... nami ni mwanamke ila nasapoti hili......... clap clap clap
 
Hayo mengine ni minor. Ila hilo la tendo la ndoa muhimu kulijadili, is a very important issue in marriage.
 
ILO TENDO LA NDOA WANAEFANYA Mara ngapi kwani isiwe anataka daily
Kwanza hujambo Smile? Vipi hali ya mama na habari za huko Msimbiji?
:focus:Hapo umesema la maana, na pengine kama walivyoeleza wengi, mdada anataka kupokea quantity ya sex tu bila ya kujali quality anayotoa. Inaonesha huyu dada ni mkoloni juu ya mumewe.
Kitu chengine ambacho hakujazungumzwa ni tafauti ya umri baina yao (ingawaje haiwezi kuwa tatizo kijuu juu, lakini mbele ya safari umri unaweza kuathiri mahusiano).
 
kuna jamaa yangu analalamika mkewe hapendi mapenzi anampa mara moja kwa mwezi na anampa kila kitu anadai anatafuta pa kupumzikia,kama vipi nipm tuwaunganishe.

kumbe wakati mtu analalamika kazi ngumu kuna mwingine anatafuta kazi.ni pm leoleo kabla huyu jamaa hajaenda safari ili wawe wameshajuana.
 
Atueleze je hajawahi kumnyima tendo la ndoa kwa muda mrefu wakati mwanaume anataka kwasababu zake binafsi? Hili nalo huchangia mwanaume kumwona mke wake kama mtu hatari na adui katika maisha yake na hukosa hata hamu ya kuwa naye. jiulize kama ya kutenda

Je anatimiza wajibu wake kama mke kwa mumewe au hampatiaji tendo la ndoa mpaka wagombane? kama ndivyo jamaa kaamua kubadili fikra zake na kukaa kimya ili aone kitakachotokea

Je kabla ya kuoana alikuwa hivyo yaani alikuwa na tabia hiyo au amebadilika ghafla na nini chanzo cha tatizo yaani cha kubadilika kwake

Wanawake mna vituko, jamaa akitaka sana mnadai ooh yaani jamaa hata nikiwa jikoni akiniona anadai nimpe:: wanaume wakirudisha majeshi na kuishi kama hana mke mnaanza kupiga kelele mwanaume wa hiv unawezaje kuishi naye? acheni undumila kuwili iweni na msimamo mmoja ili tujue jinsi ya kuwasaidia

aaaaaaaaah acheni vituko visivyo isha, mnajiabisha, kwani mwsihowe mnaonekana hamna msimamo
 
ukitaka kula nyama ya nguruwe kula aliyenona yaani ukitaka jambo usijidai hutaki wakati unataka
 
Kwanza hujambo Smile? Vipi hali ya mama na habari za huko Msimbiji?
:focus:Hapo umesema la maana, na pengine kama walivyoeleza wengi, mdada anataka kupokea quantity ya sex tu bila ya kujali quality anayotoa. Inaonesha huyu dada ni mkoloni juu ya mumewe.
Kitu chengine ambacho hakujazungumzwa ni tafauti ya umri baina yao (ingawaje haiwezi kuwa tatizo kijuu juu, lakini mbele ya safari umri unaweza kuathiri mahusiano).

Nadhani tatizo mdada hataki kuchukua nafasi yake ya chini na pia kummuuliza jamaa ana tatizo gani, ajenge mazingira mazuri jamaa atamwambia ukweli, lkn kama anajifanya anajua mwanaume anamuacha aendelee katika ujinga
 
utii ni bora kuliko marijani yaani madini yenye dhamani kubwa kuliko madini yoyote uyajuayo na uasi/kiburi/ujeuri ni sawa na dhambi ya uchawi
 
........wana mmu mambo zenu!! Haya leo kuna hili, wewe mdada umeolewa na mwanaume ambaye anakujali. I mean anakupa huduma zote kama chakula, malazi na mavazi. Yaani chochote unachotaka kama ana uwezo nacho anakupa.

.......ila sasa huyu mwanaume ana matatizo yake, nayo kama hivi:

  • mvivu kukutana kimwili na mkewe, sio kwamba ana matatizo hapana. Yaani tendo la ndoa halipi kipaumbele sana.
  • hapendi kutoka out, anaweza kumpeleka mkewe sehemu yoyote anayotaka kwenda, akifika huko yeye anabaki kwenye gari na kumuacha mkewe aende na watoto.
  • wakialikwa sehemu, kama kwa marafiki kupata dinner au mkusanyiko wowote wa watu haendi, lazima atoe udhuru.
hana maneno laini, kama mjuavyo wanawake tunapenda kusifiwa. Hata mkewe ajitahidi kufanya kitu kizuri kama kupika, kuvaa vizuri hajui hata kumsifia mkewe. Watu wa nje watamsifia mkewe lakini si mumewe.
Mkewe ameshamwambia muda mrefu kwamba hapendi hiyo tabia yake, na je watoto watajifunza nini kwa baba wa jinsi hii?

Huyu mdada ameniambia mengi kuhusu mumewe, ila mimi nimeshindwa kumwambia achukue uamuzi gani.......nimebaki tu nimezubaa kwa hizi tabia za mumewe.

Kuna mengi yakuandika kuhusu huyo mume wa mtu......sasa jamani mume wa hivi kweli anavumilika? Kama wewe mdada umeolewa na mume wa jinsi hii utafanyaje?
atakuwa amebadili tabia ndo maana mume nae ameamua kumuangalia kma picha tu,pengine mapenzi yamehamishiwa kwa watoto baba amekuwa wa ziada tofauti na zamani. Mwambie akafundwe upya na shangazi yake.
 
Back
Top Bottom